Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Kwani makatazo ya kuharamisha vitu ambavyo ukifanya kinyume na katazo unaweza kuadhibiwa kwa kupelekwa motoni, nayo sio mantiki?

Uislamu unapinga kwamba Mungu hana mtoto na ni kosa kubwa sana kwa imani yao. Sasa wewe unasema kosa hilo likifanywa bado inawezekana mtu huyo akaiona mbingu ya Allah?

Imani ya kikristo inasema huwezi kwenda mbinguni bila kupitia kwa Yesu, na kumfata Yesu ni pamoja na kubatizwa. Wakati kubatizwa ni dhambi kwenye Usilamu, so unachotaka kusema wewe ni kuwa hapo hakuna tatizo?
 
Ukristo unasema Mungu ana mtoto...

Uyahudi ambao ndio mwanzo wa hizo ABRAHAMIC FAITHS unasema Mungu hana mtoto....

Uislam unasema Mungu hana mtoto......

Lakini wanafanana katika baadhi ya njia zao....

Unazungumzia "ubatizo"....

Wakristo wanabatiza kwa maji...

Wayahudi wanabatiza kwa maji...

Waislam wako kama "bata" muda wote "wananawa maji" kabla ya kuswali mara 5.....

Itakuwa ni ujinga kutaka kuamini kuwa ubatizo pekee wanao wakristo ,wayahudi na si "mabudha" [emoji1787][emoji1787]


Kuwa Jerusalem sehemu takatifu..
Unawataja akina nabii Musa ,Ibrahim ,David ,Solomon....sasa mimi nitakuwa mjinga mno kutaka ni lazima mafundisho yao yawe [emoji817] p "similar" ilihali zaidi ya 50p yanafanana....

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT IS UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE [emoji1787]
 
Mimi nimefiki mkataa wa kuwa FAITH IS A MATTER OF CHOICE...

Ukiamua kutafuta uthibitisho wa uwepo wa Mungu with a humble mind kuna Uthibitisho ni mwingi sana..
 
Kwa hiyo ukinawa maji unakuwa umejibatiza?
 
Nothing comes in being without being created....

Would you please show me an existence that comes in being without being created?!!!

Waiting
How do you know that there must be a creator?

If Nothing comes in being without being created, Then who created the creator?

Even the creator can not come from nothing.
 
How do you know that there must be a creator?

If Nothing comes in being without being created, Then who created the creator?

Even the creator can not come from nothing.
So you agree that behind ever creation there is a creator?!!!

Everything starts after the sun comes into existence....before the sun there was no life that is perceived...the creator has no life...the creator does not exist in this existence which depends on the SUN....
 
Naungana na Anord Schwarzenegger kwenye hili ✅

Hakuna mbingu, hakuna roho wala hakuna kuzimu.
Anayetetea haya anapaswa kututhibitishia wengine ambao hatujapata nafasi ya kuyajua.
 
Even the creator can not come from nothing.

How do you know that there must be a creator?

Why don't you believe that creation existed without being created?

Why is it a must for creations to have a creator?

If behind ever creation there is a creator who is a creator of the creator?
 
Hakuna nliposema binadamu katokana na nyani, na wewe hujathibitisha Mungu yupo.

Facts.
Nyie wapingaji wa uwepo wa Mungu tunajua mmeegemea kwenye theory ya evolution kwenye uwepo wa binadamu wa sasa kwamba alianzia kwenye maumbile ya nyani, pia mnapigia upatu big bang theory na vitu vingine kama hivyo ili kupotosha uwepo na mamlaka ya Mungu Mkuu.
 
Kwani mmeshakubaliana kuhusu uwepo wa MUNGU?

Mtu anayeamini hakuna ndege aitwaye kuku, kwanini uzungumze naye aina za kuku sijui kushi, mtoroo, kuderu. Mtabishana tu, kubalianeni kwanza kuhusu uwepo wa kuku halafu muongelee aina zake.
 
Hawana wanachoegemea hao. Wanategemea udhaifu wa hoja za waamini MUNGU kupitia dini zao ndo wajenge hoja.

Ukikubaliana nao kuwa hakuna MUNGU halafu uwaulize maswali yaliyopelekea jamii ya kale mpaka ya sasa ikaamini uwepo wa MUNGU wanakurudisha kwenye udhaifu wa hoja za imani ya uwepo wa MUNGU.

Mfano: Akisema hakuna MUNGU, ukakubali kisha mkafuta hiyo imani. Mtabaki na maswali yaliyopelekea binadamu kumtafuta MUNGU. maisha ni nini? Kifo ni nini? Ulimwengu ni nini? Bila kurudi kwenye imani haya majibu hawana.
 

Kupinga uwepo wa Mungu ni kupinga uwepo wa Mungu.

Hayo mambo ya evolutiin, nyani, big bang ni mambo tofauti. Naweza kupinga uwepo wa Mungu bula kuingia katika hayo.

Na hata hiyo evolution haisemi binadamu kaanzia kwenye maumbile ya nyani.

Wewe huijui, unapuyanga tu.

Mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo wala kutatua contradictions zilizopo katika dhana ya kuwepo Mungu.
 
Imani inaendana na kutokuwa na uhakika.

Baada ya hao binadamu kushindwa kupata majibu ya maswali yao, waka unda dhana isiyo kuwa na uthibitisho na kuipa jina Mungu kwamba dhana hiyo ndilo jibu la maswali yao.

Dhana hiyo ika endelea vizazi na vizazi mpaka leo hii.

Kama hao binadamu wa mwanzoni wangekuwa wana fahamu Mungu yupo kwa nini wali endelea kujihoji na kujiuliza maswali hayo ya kifo nini? Maisha ni nini?

Inaonekana kwamba hawakuwa na uelewa wa uwepo wao hapa duniani .
 
Uelewa wewe unao? Tueleze ili tuwapuuze hawa wazee wa kale wasio na uelewa.

Kufuta imani ya uwepo wa MUNGU bila majibu ya sababu za uwepo wa imani hiyo ni upumbavu.
 
Uelewa wewe unao? Tueleze ili tuwapuuze hawa wazee wa kale wasio na uelewa.

Kufuta imani ya uwepo wa MUNGU bila majibu ya sababu za uwepo wa imani hiyo ni upumbavu.
Sababu za uwepo wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Lakini si uthibitisho wa uwepo wa hicho kinacho aminiwa.
 
Sababu za uwepo wa imani ni kutokuwa na uhakika.
Tafsiri ya imani katika maandiko ya kikristo inaanza na " Ni kuwa na hakika" Ila twende na hii hii ya kwako ili tuelewane. NIMEIKUBALI.
Lakini si uthibitisho wa uwepo wa hicho kinacho aminiwa.
Sasa Kama wao hawakuwa na uthibitisho wakaja na imani, wewe unakuja na nini ili kufuta imani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…