Arranged Marriage (ndoa za kuchaguliwa na familia, ndugu, na jamaa) ndio mfumo sahihi kwa maisha ya dot com

Arranged Marriage (ndoa za kuchaguliwa na familia, ndugu, na jamaa) ndio mfumo sahihi kwa maisha ya dot com

Labda wao mabinti wawehajafika vyuo maana yanayoendelea huko vyuoni kwa mabinti wengi ni hatari lakini ukiwakuta nyumbani kwao wanavyo behave kitakatifu sasa unaweza sema mke ndio huyu sasa
 
Wacha nikuitie wachumba, ushindwe wewe tu...
RRONDO aka Baba Bataringaya...πŸ˜… (bado nakudai mabungo).

Mentor huyu japo sijamsoma kitambo, ila ni husband material.

Watu8 (usininunie tafadhali, namsaidia binti kupata mume)

Roger Sterling natumai viinglish vitaendana

Daby (baba yeyoooo, takwenyaa)

Mrembo, kila la kheri.....😍

Wakataa ndoa wapite kushoto.

Kasie, long time. Ulijificha au kufichwa?

Mrembo anasound timamu kabisa. Ngoja tuone nani atabahatika.
 
Labda wao mabinti wawehajafika vyuo maana yanayoendelea huko vyuoni kwa mabinti wengi ni hatari lakini ukiwakuta nyumbani kwao wanavyo behave kitakatifu sasa unaweza sema mke ndio huyu sasa

Hata huko vyuoni watakatifu wapo pia..

Pia ndoa ni muunganiko wa familia. Ni bora familia zenye vision moja ziungane.
Sio familia ya washirikina iungane na familia ya watu wa Mungu
 
Kasindeeeeee ☺️😚😘

Mimi ni mzee kijana, nishafika umri wa kugombea Urais wa nchi na kukaa vikao vya UN....

Mabinti wadogo watanifurugaaaa tu

Aahahahhaaa shugaaa, najuaaa...

Mekumithiiiii...😍

Kwani maini yanazeekaga...!!!???

Usijali, wakianza kukuvuruga tuu nawarudisha unyagoni..
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Yani mamdogo, kuna mtu anatafuta mume, ila kijana wako hata uniambii? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…


Oooh baba mdogooo, huu uzee ni shida...

Nimetafuta vijana wa mbali kumbe wewe wa karibu uko hapa...

Hapajaharibika neno, Amehlo amekusoma...
 
Kasie, long time. Ulijificha au kufichwa?

Mrembo anasound timamu kabisa. Ngoja tuone nani atabahatika.

Long time kweli aisee.....πŸ˜€πŸ˜€

Well nakuwepo hapa na pale ila si kama kipindi kile unaniongelesha kiinglish kile chenyewe...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Uzee nao unachangia, huku naingia kubariki na kutoka 😊😊😊

Usiniambie nikutafsirie kubariki maana yake nini...πŸ˜„πŸ˜„

Hadi uniongeleshe kiinglish chako aahahah

Kwanza nimekumbuka kitu, please send my warm and lovely regards to Silas/Silla please...πŸ˜‰πŸ˜‰

I missed him alot...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜œ.
 
Tabaka la matajiri bado wana huo utamaduni

Familia zenye watu makini zinajua faida za ndoa hizi.

Mfano mtoto wa Kimei enzi ceo wa crdb aliozeshwa binti mtoto wa mwenye sheli za victoria.

Mo dewji ameoa binti kutoka familia ya Murzah wamiliki wa viwanda kibao kikiwemo cha mafuta ya kupikia Korie na sundrop.

Mtoto wa GSM ameoa binti kutoka familia ya Asas.

Sio wajinga kufanya hivi.

Wanajua ndoa ni muunganiko wa familia.. ili familia ziungane kwa amani lazima hizo familia ziwe na vision zinazoendana.

Binti aliyekulia familia ya biashara. Ni ngumu kufilisi biashara za mume wake.
 
Kabisa yanii. Hii story huwezi ielewa kama hayajakukuta.. lkn ni vigumu kurudi zamani
 
Kwa hiyo familia duni zioane zenyewe TU? Je ni familia ngapi zinautajiri? Wahindi waarabu ni wachache na hawana machao kutokana ubaguzi walio nao.Kinachomaliza ndoa Leo ni matamanio tu na ubize tulionao kiasi cha kumwona mwenzako kelo.Enzi hizo mume Yuko mjini mama Yuko Kijijini wanaonana mara chache,pia jamii zilisaidiana kuchunguza ujanja ujanja lakini Leo umeachiwa uhuru wako mwenyewe hivyo stress daily.Elimu ni nzuri lakini tumeacha elimu ya jamii na dini hivyo hatuna hofu Tena na Mungu.

Nenda kasome uzi vizuri
 
Long time kweli aisee.....πŸ˜€πŸ˜€

Well nakuwepo hapa na pale ila si kama kipindi kile unaniongelesha kiinglish kile chenyewe...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Uzee nao unachangia, huku naingia kubariki na kutoka 😊😊😊

Usiniambie nikutafsirie kubariki maana yake nini...πŸ˜„πŸ˜„

Hadi uniongeleshe kiinglish chako aahahah

Kwanza nimekumbuka kitu, please send my warm and lovely regards to Silas/Silla please...πŸ˜‰πŸ˜‰

I missed him alot...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜œ.

Hahaha same old, Kasie. Never change, mama. Salamu zako zimefika kama ulivyokusudia. Don't be a stranger.
 
Back
Top Bottom