Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Ndio nimesema na ninasema tena kuwa Arsenal amechukua EPL Cup Mara tatu tu yaani 1998, 2002 na 2004 kama amechukua zaidi ya hapo sema ni Mwaka ganiNasema ogopa sana mtu mjinga alafu awe na confidence
Nilifanya ku qoute uzi wako uliosema kwamwe spurs hajawahi kuchukua ubingwa ili usije kuedit [emoji16]
Na ukasema arsenal amewahi kubeba ubingwa mara tatu tu[emoji16]
Ndugu km kitu hujui unakuwa mpole uombe uelekezwe
Na sio kosa kutokuja kitu hakuna atakayekucheka itakusaidia kupunguza ujinga
Mimi naenda na ushahidi sio wewe unakurupuka tu vitu huvijui