Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
imepooza sio kasi yetu hile ya kawaida na naona vijana wetu wame relaxed sasa hivi baada kumaliza game goili 2 hazitoshi kabisa.hapa tunahitaji goli la tatu hili wakina fabregas ,arshavin wakapumzike kwa ajili ya mechi na spurs.
West Ham wamefunga,Manone naye kapangua kibweege...Arsenal2 West Ham 1
Duh,
Mechi za leo si mchezo!
Haya, wenyewe hawajabadilisha mtu, ninyi mmemwongeza Eduardo, tafuta kisingizio kingine hahahahahaBwana wee
Nimekubali mpira unadunda hahaha... Yani mtu anaongoza mbili bila mambo yanamgeukia dakika 20 za mwisho?poleni jamani hii ngoma ndo imeshalala hivyo.
poleni jamani hii ngoma ndo imeshalala hivyo.
Dah,noma kweli,hawa marefa nao...2-2
Yani nafurahi kuwa walau sote tumeugulia maumivu, mimi kufungwa na Aston Villa ilinifanya nikakosa amani kabisa!Ngoja nilale, kichwa kinaniuma....
yani mkuu hapa akitokea daktari anipime moyo na temperature anaweza akasema nipelekwe icu sasa hivi.Mkuu Arsene Wenger nakuona kwa mbaaali unachungulia... Wakati wa match ya Man U ulionekana mwingi wa maneno, niaje mkuu?
Teh teh teh teh!