Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
mkuu sare ya stahili ni mbaya sana na inauma mno.ningesema sio mbaya kama jamaa wangetusumbua toka mwanzo lakini game ilikuwa tuna control na tukashindwa kuimaliza na huu ndio mchezo wetu kila siku.walijifanya wamejifunza kutoka game ya juzi champions ligi lakini this is worse than the game against akmaar.nimechukia mno na hakuna cha kujivunia leo.tunaongoza goli 2 na tushajua matokeo mengine yote alafu tunaacha kuchukua point 3 zote?Sare sio mbaya sana,maana jamaa wako kwao mkuu...Kuna wengine wanaugulia maumivu yasiyofaa leo,wapo jirani tu hapo...Belo,Manda& the Co...
hatuko serious kabisa kuhusu kutaka kikombe.