Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eduardo mlimkosa sana!..kaja na kasi, katingisha nyavu mara mbili.
 
Wenger ni mtaalam wa kupata vipaji, tatizo ni majeruhi ya mara kwa mara na mara zote wachezaji wanaojituma huwa wanapata majeraha.
Mungu amsaidie.
 
Bendtner = 2 left feet!! Amekosa vipi bao lile? alafu analalamika hapewi gemu.
Ilikuwa ni faraja kumuona Dudu fiti na akitingisha wavu, kwa sasa huku mbele mabao yapo, V'persie, Arshavin, Nasri, Dudu na Ade wote wana uwezo wa kufunga, tatizo letu liko palepale hatuna creative players hapa katikati wa kupeleka service kwa strikers.
Denilson, Diaby, Song na Ramsey uwezo wao mdogo mno na hawana vision na creativity kama ya Fabregas au Hleb.
Niliangalia ile mechi ya Brazil v Italy wiki iliopita na nilikua najiuliza kwa nini Wenger kamuachia Gilberto kisa eti mzee na anataka kontrakta ndefu? hapohapo ameenda kumsajili Silverstre? Gilberto ni Leader ana uzoefu na vilevile yupo creative.
 
Gilberto mwenyewe amekiri Wenger ameshindwa kupata mchezaji wa kum-replace
 
Hiyni kawaida yao wakishinda game moja ijayo droo au kipigo
 
Mwaka wa shetani.....hata Sandalendi nyumbani tunashindwa kuwafunga? tuwasubiri akina Belo waje kuosha vinywa sasa!!!!
 
Mwaka wa shetani.....hata Sandalendi nyumbani tunashindwa kuwafunga? tuwasubiri akina Belo waje kuosha vinywa sasa!!!!

binafsi nilishaacha kuongelea Arsenal, Everton kaza mwendo vijana nafasi ya 5 yenu mwaka huu.
 
Imekuwa kawaida ya Arsenal season hii. Vipi huyo Arshavin amecheza leo?
Wiki hii sikukaa kwa amani kila nikigeuka ooh Eduardo karudi lazima ampite Adebayor kwa magoli, mara Arshavin lazima weke impact jumamosi hii.
Ngoma yenu ngumu!!!
 
Imekuwa kawaida ya Arsenal season hii. Vipi huyo Arshavin amecheza leo?
Wiki hii sikukaa kwa amani kila nikigeuka ooh Eduardo karudi lazima ampite Adebayor kwa magoli, mara Arshavin lazima weke impact jumamosi hii.
Ngoma yenu ngumu!!!

....kwi kwi kwi kwikwi........hawana jipya hao......wasikutie pressure Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…