Kama nilvyosema hapo juu,leo 'Mbuzi kala Mbwa'Mbu anakunywa kangala kwa mama pima hataki kusikia chochote kuhusu hii gemu. Naona Giggs na Berba wameingia Rooney kulia, berba kati na Giggs kushoto.
Ona Wenger ujinga anaoufanya anamuingiza Berndtner badala ya Eduardo,ujinga mtupu yaani
Mbu sikuoni hapa au mpaka gemu iishe? Usijali kuna kushinda na kushindwa na mpira bado unaendelea.
ganaz kazidiwa mnoooo, may be....mpira unazunguka!
Mbona raha nafurahia sababu ya my sweet heart...Arsenal huwa na Kelele sana....