Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe Unapendaaaaaaaaa....let's wait dk 90 manStuff of the legends
Mmhhhhh,mkubwa...Huu mbona ni uongo wa mchana kweupeeeeeeeeeeeManchester u 01 arsenal -01
Sylevestre kawaokoa mara kadhaa,ila kama si Almuna basi The gunners wangekuwa down 3 nil...Ni half time,Arsenal wanahitaji mabadiliko hapo,Fabregas bado hajafanya mambo.Kwa ulinzi tulionao leo lazima tuchapwe mengi tu...Wenger kwa nini kampanga Sylevestre wakati katoka majeruhijana tu na kiwango chake ni kibovu,leo lazima tuchapwe mengi tu,noma kweli yaani
Mwenyewe Unapendaaaaaaaaa....let's wait dk 90 man
Saiko,Mpira ni dakika 90 mpwa,na tusubiri hizo dk 90 tuonemzizi wa fitina unakatwa leo, mpaka sasa wachovu 0 oshea 1, watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Saiko,Mpira ni dakika 90 mpwa,na tusubiri hizo dk 90 tuone
Mkuu balantanda wacha wapige makele ikifika dk ya 88 tutawauliza ngapi ngapi watuletee matokeo kama waliyoandika hapo juu
arsenal oyeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bwana wee,noma kweli yaani,hii watoto wa mjini wanasema 'mbuzi kala mbwa'Shadow wapi wewe??!!!! Balantanda leo mmebanwa kweli
Naomba tusubiri dakika 90,then tutaangalia nini cha kuongea,nina uhakika akiingia Eduardo da Silva a.k.a Dudu aweza fanya mabadilko kidogoBalantanda
jamaa leo hawakupitia BAGAMOYO nini kwa babu mbona man wanapiga wanavyotaka
Mbu alishasema b4 kwamba gemu ya leo ataisikia kwenye bomba tuMbu sikuoni hapa au mpaka gemu iishe? Usijali kuna kushinda na kushindwa na mpira bado unaendelea.