Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnatumia muda wenu ku-criticise mapema hivi!

Bado mechi 19 umeshajipangia wewe unamaliza nafasi ya 2 na Man U ya 14.

Nakukumbusha tu mechi 19 zilizobaki zina jumla ya point 57 United akishinda zote anakuwa na point 79!
Hizo mechi 19 kesho kutwa mnaanza na Liverpool zinabaki mechi 18.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ya miaka 2 iliyopita hata kucomment humu ilikua ni marufuku mpaka uonyeshe kwanza cheti chako cha ukocha, na wengine wakapiga mpaka marufuku wasikotiwe.
Hili jukwaa lilipitia masahibu mazito sana aiseeee.
ila ni jukwaa lililochangamka kuliko yote
 
Mnatumia muda wenu ku-criticise mapema hivi!

Bado mechi 19 umeshajipangia wewe unamaliza nafasi ya 2 na Man U ya 14.

Nakukumbusha tu mechi 19 zilizobaki zina jumla ya point 57 United akishinda zote anakuwa na point 79!
suala sio akishinda, huo uhakika wa kushinda mechi zote 19 ukavuna hizo point kwa timu yako unao? mnaanza na Liverpool
 
United haiwezi kushuka daraja kwakua walio chini kule they are not getting better soon. So united aweza pigwa na kupigwa ila sidhani kama anaweza kua relegated.
Kweli japo maajabu huwa yapo.
 
Jumamosi tuna mechi na Brighton ambayo tunaenda huku Timber akiwa hayupo kwenye selection kutokana na kadi za njano alizopata.

Nwaneri amecheza vizuri RW kuliko Martinelli, lakini Nwaneri ameonyesha kwamba siyo mzuri kutrack back. Partey na Timber wamefanya cover up ya defence vizuri kiasi kwamba hakuna gap tumeona.

Kwakua next match Timber hayupo Arteta anaweza kumuweka tena Partey kama RB. Means defense coverage ya Nwaneri inapungua, itakua ideal kumchezesha tena Nwaneri RW kama Partey atarudi RB?

Arisk kumuamini Calafiori kama RB na Myles awe LB ili asidisturb defense coverage anayoipata kutoka kwa Partey?

Tucheze back 3?
 
hivi "bottlers" ni watu wa namna gani hao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bottlers ni wale walio katika nafasi nzuri ya kupambania ubingwa na kila mtu akaamini kua lazima watabeba kombe lakini ikifika mwisho wa msimu wanajikuta wamekalia chupa na kutoka mikono mitupu.

Bottlers kwa lugha ya kawaida hua wanaitwa loser.
Bottlers inaweza kua hata kati ya mechi na mechi mfano mpaka dakika ya 80 Arsenyo inaongoza kwa 3-0 kila mtu anakua na imani kua tayari Arsenyo ameshajichukulia points zake 3, halafu kufika dakika 90 wahuni wanapindua meza na kuwagonga Arsenyo 4-3 hatimae Arsenyo anakua amepoteza points3 hapo kwa lugha ya kimichezo Arsenyo ataitwa Bottlers.
 

asante sana kwa hili
 
Jack Grealish alinunuliwa kwa 100M mwaka 2024 umeisha hajafunga hata goli moja. Kwanini hamna anayeongelea hili?

Man city is not relevant. Same na Antony na united.

Why have these two guys failed? I mean they are skilled miguuni na wana pace so what's the issue?

Mmoja ni timu aliyotokea mwingine ni ligi aliyotokea.

Against Villa ni timu chache zitaamua kupaki basi. Against zingine zote Villa itakua inafanya mid block na kusubiri wapinzani waingie upande wao kisha long ball moja au through ball, pace ya kutosha then Grealish anajikuta yupo 1 v 1 na kipa.

So it was easier akiwa Villa, akiwa city 1 v 1 anaipata dhidi ya mabeki 4 awaache ndiyo aipate 1 v 1 na kipa. Nakumbuka Arsenal tuliwahi kuhusishwa naye, the closest nilichoona ni siku shabiki alipomuuliza kama atakuja Arsenal, akatabasamu tu.

Arsenal wapinzani wake wengi wanafanya low block, Rashford anatoka timu ambayo hua haifanyiwi low block. Mambo ya Grealish hayawezi jirudia? Mtoe Martinelli muweke Rashford kisha wazia kwa mfano mechi ya jana ni kipi Rashford angeweza kufanya kikawa na faida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…