ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.Partey ni mtu na nusu, ananikumbusha enzi zangu nikicheza namba 6.
.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ NwaneriJumamosi tuna mechi na Brighton ambayo tunaenda huku Timber akiwa hayupo kwenye selection kutokana na kadi za njano alizopata.
Nwaneri amecheza vizuri RW kuliko Martinelli, lakini Nwaneri ameonyesha kwamba siyo mzuri kutrack back. Partey na Timber wamefanya cover up ya defence vizuri kiasi kwamba hakuna gap tumeona.
Kwakua next match Timber hayupo Arteta anaweza kumuweka tena Partey kama RB. Means defense coverage ya Nwaneri inapungua, itakua ideal kumchezesha tena Nwaneri RW kama Partey atarudi RB?
Arisk kumuamini Calafiori kama RB na Myles awe LB ili asidisturb defense coverage anayoipata kutoka kwa Partey?
Tucheze back 3?
Kiwior hawezi mbavu ya kulia ili Calafiori abaki kushoto?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Calafiori ni risk taker na hapo umemuweka kushoto, imagine akiwa kulia.Kiwior hawezi mbavu ya kulia ili Calafiori abaki kushoto?
Tierney kashacheza kulia. Kwanini isijirudie?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Hahaa.. Hakuna tabu, tuko pamoja, tunaendelea na gurudumu la the gunners.ahahahah! Bro najua Partey ije mvua lije jua huwezi kumkataa, mimi nilimkataa sio kwamba hajui mpira ila ni makosa madogo madogo yaliyomnyima point kama Holding mid, leo Rodri ana ballon d'or ingawa partey is more talented than Rodri, sisi wachumi tunajaribu ku economize kwenye kila kitu even football , always we look for the optimal output, tunataka uoneshe ubora ule mungu aliokupa consistently, na hii ndio case ilofanya kuumia nikiona TP ana underperform, not otherwise.
Calafiori anaweza cheza kulia?.. .Martinel. .. ..... Jesus. ........ Nwaneri
. .Rice. . Partey. . Odegar.
.
... L skelly. Saliba. Gabi. . Calafiori
. . . ....Raya...
Sub: ziny, merino, trosad, joginho
Kwior ni mzuri lakini tujiandae kuingia tukihesabu moja bila tayari tuanze kusawazisha na kutafuta ushindi, lazima achome ashalemaaCalafiori ni risk taker na hapo umemuweka kushoto, imagine akiwa kulia.
Kiwior ana cross nzuri sana jamaa. Ni fair akiwa LB kabisa
Huyu atafute timu tu january hiiTierney kashacheza kulia. Kwanini isijirudie?
Wachezaji wengi anaopenda arteta ni wale vilaka, nilisikia anabonda fullbacks zote kwa ubora ule uleCalafiori anaweza cheza kulia?
Abonde kulia na huo mguu wake wa kulia ni wa kupandia kitandani mkuuWachezaji wengi anaopenda arteta ni wale vilaka, nilisikia anabonda fullbacks zote kwa ubora ule ule
Who is this?
Yuko vizuri tu na mguu wake wa kulia. Ni moja ya sababu tulimleta. Ila sidhani kama anaweza RB.Abonde kulia na huo mguu wake wa kulia ni wa kupandia kitandani mkuu
labda sijamfatilia kwa umakini ila sijawai kuona anautumiaYuko vizuri tu na mguu wake wa kulia. Ni moja ya sababu tulimleta. Ila sidhani kama anaweza RB.
Umeandika maelezo marefu ila haujasema kama baada ya kutangulia kufungwa leo Arsenal imeshinda au imefungwa
Spurs ni completed definition ya bottlers
Spurs hajawahi kuwa bottlers, real definition ya bottlers ni ARSENAL kila mmoja anajua hilo mbona unatumia kivuli cha spurs kujificha humo kaka[emoji23]
Bottlers is team that starts well but ends the season in poor form due to mistakes or to throw away a lead or a good chance of winning when you've been on the front foot.
Spurs hayupo kwenye bottlers nitajie mwaka ambao ni spurs ame “ bottle” kwanza hajawahi kufanya ivyo ila arsenal hapa naweza kukutajia zaidi ya miaka 12 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . THE REAL DEFINITION OF BOTTLERS NI ARSENAL.
Spurs hajawahi kuwa bottlers, real definition ya bottlers ni ARSENAL kila mmoja anajua hilo mbona unatumia kivuli cha spurs kujificha humo kaka[emoji23]
Bottlers is team that starts well but ends the season in poor form due to mistakes or to throw away a lead or a good chance of winning when you've been on the front foot.
Spurs hayupo kwenye bottlers nitajie mwaka ambao ni spurs ame “ bottle” kwanza hajawahi kufanya ivyo ila arsenal hapa naweza kukutajia zaidi ya miaka 12 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . THE REAL DEFINITION OF BOTTLERS NI ARSENAL.
Mimi mtu akiwa muongo namchekecha hapo hapo. So nakupa evidence recent nyingine halafu nakuacha.Nakupa hii na hio ndio gemu pekee arsenal katanguliwa kufungwa then akashinda kama ipo nyingine itaje hapa , zipo gemu katangulia ndo ikaisha kafa zaidi ya mmoja .
Hii ndo game ya kwanza lakini unataka ionekane kama ni kawaida yenu[emoji28]