Uwezo, ubunifu umepungua kwa kiasi kikubwa. Tunashindwa kutengeneza open chance tukifika kwenye final 3rd.. Arsenal imefika mahali unaona ni rahisi kufunga kwa kona kuliko open play...Your content
Swala la kufunga open play hamtaki kabisa
Martinelli mbona ali-shoot poa, kupiga besela huwez kumlaumu mchezajiKila siku nawaambia, ni yuleyule Isak. Dogo anatunyanyasa kila siku.
Yote haya kayataka Martinelli, tungeongoza hii pressure ingepungua.
Bahati yake refa kamkaushia hajampa kadi.Trosard analeta ufala, hajui kuna var?
Naona kama alikosa utulivu, alikuwa na nafasi ya kutulia akapiga kwa usahihi.Martinelli mbona ali-shoot poa, kupiga besela huwez kumlaumu mchezaji
Au amezingua sehemu nyingine Mimi sijaona
Of course Martinelli binafsi sijashangazwa sana na kukosa vile.. Labda kwa watu ambao hawajamtizama hivi karibuni 1vs1 na kipa. Sikuwa na mategemeo makubwa sana hata aliyotengeneza gap na mtu wa mwisho kwa mkimbio wake. Kupishanisha vizuri mpira na goalkeeper ni tatizo chronic sana kwake kwasasa.. Wala sio wa kuteteaMartinelli mbona ali-shoot poa, kupiga besela huwez kumlaumu mchezaji
Au amezingua sehemu nyingine Mimi sijaona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna kamstari kembamba sana kanakomtenganisha huyo Matembele wenu na Antony Masebene, ni vile tu mashabiki wa Arsenyo hua wanapenda sana kuwapamba wachezaji wao.Of course Martinelli binafsi sijashangazwa sana na kukosa vile.. Labda kwa watu ambao hawajamtizama hivi karibuni 1vs1 na kipa. Sikuwa na mategemeo makubwa sana hata aliyotengeneza gap na mtu wa mwisho kwa mkimbio wake. Kupishanisha vizuri mpira na goalkeeper ni tatizo chronic sana kwake kwasasa.. Wala sio wa kutetea
Kuna marudianoDakika za mwanzo za kipindi cha pili Newcastle watatafuta goli la pili kwa udi na uvumba, wakifanikiwa tu kupata goli la pili wanapaki basi na game ndio inakua imeisha.
Itakua poa sana Arsenyau leo akifungasha virago halafu mechi inayofata ya FA utd tukifanikiwa kuwaondoa kwenye mashindano matusi yatakua mengi sana humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]