πππ nawaona kama nyie mliangalia vibaya au kwa kusudi la kuona mpira umegonga mkono wakati mimi mbona niliona haukugusa...ππYaani kati ya watu wote tulioangalia mpira akiwemo arteta na benchi zima la ufundi la arsenal tumekubali kweli mpira uligusa mkono kabla haujabadilisha uelekeo, ila wewe peke yako umeona umegonga tumbo!
Hata hivyo mkono wa Havertz haukuwa kwenye natural position mkuu.
Na magoli yetu tuliyofungwa mengi ni yale ambayo yalikuwa rahisi zaidi kukoswa lakini somehow yakaingia. Huku kwenye ufungaji tuna chances nyingi zilizokuwa rahisi zaidi kufunga kuliko kukosa lakini somehow tukakosa.Arsenal imefungwa magoli 21.
Liverpool yenye mabeki wa kueleweka imefungwa magoli 20.
Akili mali
Chura anaandika utumbo dailyNa magoli yetu mengi ni yale ambayo yalikuwa zaidi kukoswa lakini somehow yakaingia. Huku kwenye ufungaji tuna chances nyingi zilizokuwa rahisi zaidi kufunga kuliko kukosa lakini somehow tukakosa.
Mwanzo nilikua nahisi nimeielewa hii format ya UCL ila jana imeniacha tena njiapanda.
Mwanzo nilielewa timu kuanzia ya 9 mpaka 24 zitacheza playoffs ili ziingie raundi ya 16. Ambako huko itazikuta timu zilizoshika nafasi ya 1 mpaka ya 8 zinawasubiri.
Na nilifikiri tayari zishachujwa.
Ni hivyo uko sahihi, lakini mpaka michezo yote iishe ndo watakuwa wamejichuja.Mwanzo nilikua nahisi nimeielewa hii format ya UCL ila jana imeniacha tena njiapanda.
Mwanzo nilielewa timu kuanzia ya 9 mpaka 24 zitacheza playoffs ili ziingie raundi ya 16. Ambako huko itazikuta timu zilizoshika nafasi ya 1 mpaka ya 8 zinawasubiri.
Na nilifikiri tayari zishachujwa.
Ni hivyo uko sahihi, lakini mpaka michezo yote iishe ndo watakuwa wamejichuja.
Nadhani ni hivyo. 1-8 wanakaa high table wakisubiri draw ya 9-24 wakutane watundikane na washindi waje watukute sisi 1-8 tupambane.
YesNimeelewa zaidi.
Baada ya kila timu kucheza michezo nane ndiyo inakua ishaamuliwa nani atakaa wapi
Yeah....Nimeelewa zaidi.
Baada ya kila timu kucheza michezo nane ndiyo inakua ishaamuliwa nani atakaa wapi
Kumbukumbu za Arsenal zikiwa zimesalia dakika 15 kabla ya kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa ulaya.
[emoji23][emoji174]
Kuja kuwasindikiza mmalize nafasi ya piliNwaneri na Calafiori wamerudi
Hapa tunaongelea Champions League dogoKuja kuwasindikiza mmalize nafasi ya pili