Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwamba hali huwa haibadiliki? Kwamba huwa watu huwa hawaoni haja ya jambo fulani tofauti?
 
Leo dimbani tena ila kikosi kina doubts hiki. CL ambayo complicated unampa namba Kiwior na unamnyima Partey.

Mechi ya kupunguza gap unafosi Partey awe defender namba unamnyima Kiwior
 
Tiimu kubwa ikienda Sporting kutaka kumsajili Qwenda, wataambiwa hawauzi ili pesa iwatoke.

Wakienda West Ham watamsajili tena kwa £30mil tu.
 
Tiimu kubwa ikienda Sporting kutaka kumsajili Qwenda, wataambiwa hawauzi ili pesa iwatoke.

Wakienda West Ham watamsajili tena kwa £30mil tu.
United imemtaka dogo jina limenitoka wamepeleka 27 watu wamekaza wanataka 40
 
Daah hii gemu enzi hizo ni false hopers , dk ya 79 na 81 hope zikakataaa etoo na belleti kama sikumbuki vizuri
Huwezi kuiita arsenal ile kuwa false hopers.. Arsenal hii ilitisha, hii fainali Thierry Henry alituua alikosa goli nyingi, lakini ile kadi nyekundu ilitumaliza, huenda tungepata kombe usiku ule.
 
Jana nimecheki mpira, daha, chama linsikitisha, tunacheza kama vile timu ya shule ama academy yenye kocha mzuri, hatuna maturity kabisa, pale mbele ndio kabisaa.. Huyu arteta wakimchekea hatutaambulia kitu.

Kuna mali moja kai kapasiwa, ilikuwa aguse mpira tu uende goli kipa apambane na hali yake, akaopt kutuliza mpira na kufinya, kumbuka ye na kipa ilikuwa umbali kama wa mita 3 tu. 😂

Kwani yule Jonathan david wa lille si atakuwa free, bora yuoe kuliko kiazi kai
 
Kwa points tulizonazo tunajihakikishia kuwepo kwenye playoffs kwa 100% kwakua mtu wa 24 ana points 10 so hata akishinda sisi tukafungwa bado tunakua ndani ya 9 mpaka 24.

Ila ili tuwepo kwenye top 8 tunahitaji suluhu au ushindi mechi ya mwisho hii ni kwakua mtu wa 9 ana points 13 na akishinda anakua na 16. So tukisuluhu tutakua na 17 na tutakua ndani ya top 8.

Huku CL tumebebwa sana na defense line yetu kuliko attacking. Angalia tofauti ya magoli ya kufungwa na kufunga ya timu tatu za juu utanielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…