Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Kwani kuimba si kupokezana Mkuu? Tulia basi.Kwani mlikua mna uhakika mtakua mnashinda kila mechi?
Liverpool tunachekelea hapa 😝😝
Juzi tulipata sare mkawa mnatuita liverkuku 😀
Kalale tu Na KENGE wenzako.Sijui nikalale tu? Mbona maji yanataka kuzidi unga?
Hakunaga hio,kuna mazingira hakuna kupokezanaKwani kuimba si kupokezana Mkuu? Tulia basi.
Sawa arsenal2004[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ombeni sana leo mshinde ndio itakua salama yenu, vinginevyo tutawajazia nzi humu.
Arsenyau attempts 30 goli 0
Westham attempts 2 goli 1
Kenge ni wewe mshamba hadi leo hujui ku highlight unachora kama bata.Kalale tu Na KENGE wenzako.
Nimependa huu msemo wa commentator
"Arsenal, a goal down and a man down..."View attachment 3245583