Inawezekana Sterling na kocha wana uhusiano
Ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko arsenal kuchukua EPLBinti upo on fire leo.
Utaendelea kuwepo au utajifungia baada ya kesho?
Nilijua tu utajitokeza kutoka mafichoniPigia mistari baba
Wahalifu wakubwa nyie🤣🤣🤣
Ashindwe kuwapa kombe Fabregas aweze odergaard[emoji28]Odergard hafai kuendelea kua captain na hapaswi kuendelea kutegemewa.!
Kijinga, kocha fala na timu nzima mabwabwa watupu.Mara ya pili hiki kitoto kinaigharimu timu
Ningeshangaa sana, huyu haingii hata theluthi kwa CescAshindwe kuwapa kombe Fabregas aweze odergaard[emoji28]
Mbwa mkubwa huyu.Niko nacheza ps hapa, nime chukua arsenal vs westham.
huyu arteta ana feli wapi?, mbwa huyu
Nyumbu kuna kitu wanatafuta shida yao nyuma wapo wazi
Swali langu kwako. Mnashinda magoli 2, nani anascore hayo magoli?
[emoji599]BREAKING: Manchester United fans are reportedly planning a protest, for Arsenal’s trip to Old Trafford on March 9th. [emoji777][emoji15]
The fans plan to empty the stadium, to hit back at the Glazer family, for the running of the club. [emoji2522]View attachment 3245366
Mnaanza kutafuta vizingizio ili tukija kwenu mgome kuingia uwanjan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Goal la nyumbu atafunga nani?View attachment 3245375
Mnajitahidi sana kutafuta Kila namna mshuke daraja🤠🤠🤠...kimzahamzaha hivihivi mnawafqta Sheffield United kwny ligi Yao.....
Yamejificha tayari
Hakuna shot on target mpaka sasa hivi
Sijui tumuachie West Ham atupige leo ili awaruke.....
Nyumbu linakukuruka watu wamelibana