Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Richard, I hope Viera atasajiliwa "kwa sababu maalum". Tatizo ninaloliona Arsenal hakuna 'Legend' kwenye dressing room wakuigiwa mfano. Blaise Matuidi...

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Zc4sA5I892s&feature=related"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]​

...akisajiliwa ataweza ziba pengo aloliacha FLAMINI, ingawa Nasri 'anajengwa' kucheza nyuma ya Fabregas katika 4-3-3 formation.

Magoli sina wasiwasi, yata flow toka pembe zote. Hatuhitaji striker mpya. Hata hivyo Kalou akisajiliwa itakuwa bonus vilevile kwa uzoefu wake wa Premier league,... Chelsea either hawajui kumtumia au kafunikwa vibaya na Drogba na Anelka.

Chamakh goal ratio yake sio nzuri bana, 1:4 ndogo sana hiyo. Angalau ingekuwa 1:2...unajua game ijayo hata asipofunga halaumiki!
 
naona nilipotea kidogo hapa na mijadala mingi nimekosa.ngoja niongezee tu kwenye swala la kalou nadhani ni mchezaji ambaye atatusaidia sana pale mbele kuliko chamakh.
 
Kalou is a very poor finisher, mara kumi ya Adebayor..he he he.
 
Naona Alonso anaenda Madrid, na hivyo inamaanisha Lasana Diarra aangalie ustaarabu mwingine kabla ya SA2010 maana mambo ndio hivo maji yanazidi unga taratiiib. Kwa washabiki wa Arsenal nadhani hii itakuwa habari nzuri maana kijana alianza kutukana mamba kabla ya kuvuka mto..he he he..vilevile kwa wapinzani wengine wa Kops hii ni habari njema maana pia uwezekano ni mkubwa kwa Mascherano naye kuishia Barca, na kupata replacement ya maana kwa mida hii ya lala salama ni inshu.

Kaazi kwelikweli.
 
Kalou is a very poor finisher, mara kumi ya Adebayor..he he he.
he can hold the ball better than adebayor and face the defenders which can lead to assisting if he cant score a goal.kalou hakupata mda mwingi wa kucheza kama adebayor lakini kalou ni mchezaji mzuri kuliko adebayor.
 
wenger alifanya kosa kubwa sana kumuuza diara kabla flamini haja sign contract mpya.alichotakiwa kufanya wenger pale ilikuwa ampekele on loan pompey na tusingempoteza kijinga vile.kwenye swala la diarra we lost n he is the winner n if he doesnt get a chance to play i will be happy to get him back to arsenal na nina huakika timu kubwa nyingi zitamgombania pia.dogo mkali sana kwenye defensive midfield.
 
he can hold the ball better than adebayor and face the defenders which can lead to assisting if he cant score a goal.kalou hakupata mda mwingi wa kucheza kama adebayor lakini kalou ni mchezaji mzuri kuliko adebayor.

Nakubaliana nawe Mr.Bean,

Kalou ni mzuri sana hata kuleta kashkash langoni na pia anajituma sana kuliko bishoo Ade......! akija pale Emirates ata ongeza uhai sana!
 
Wakuu ile beki vp?
Nani atasimama mkoba?
Galas,sylv wazee pumzi tabu......duh ...walah kazi ,,,ipo
 
mimi macho yote kwa huyu dogo JACK WILSHERE.

Jack Wilshere... in action at the Emirates Cup


Banfield - Boss has helped Wilshere mature

By Declan Taylor

Jack Wilshere's maturity is a result of his early elevation to the first-team, according to Reserves boss Neil Banfield.

The 17-year-old burst on the scene with a string of record-breaking first-team cameos at the start of 2008/09. And, after helping the Under-18s to a League and Cup ‘double' last season, Wilshere was back with Arsène Wenger's seniors during pre-season.

He started against Barnet, and twice on the Gunners' Austrian tour, before illuminating the Emirates Cup with two goals and two Man of the Match performances against Atletico Madrid and Rangers.

Wilshere's contribution may have surprised the watching fans, media and England manager alike, but Banfield hardly raised an eyebrow.

"Jack has gone into the first-team, worked hard and now we're starting to see the sort of player we hope will be there in the end," the second string manager told Arsenal.com. "I think if you have a season working around Arsène you can't help but mature in every area.

"You can see the heightened maturity in his play and the physical development. It is all a result of the manager taking him in early. I think he [Wenger] saw something there and it has paid dividends.

"He has had a year with the first team and has learned a hell of a lot being around Arsène and his coaching staff. I think from now on we'll see the fruits of their labour."

It is less than 18 months since Banfield handed the then 16-year-old Wilshere his Reserves debut - on which he scored - in a 1-1 draw with Reading.

The second-string manager admits that Wilshere's latest exploits have made "keeping a lid" on the situation the primary objective. But in Wenger, there could be no better mentor for the 17-year-old.

"Jack will be developed and used when the manager thinks he is ready. Arsène has been doing it for years and he knows," Banfield continued.

"The lid needs to be kept on, without a doubt. But I don't think Jack could be working under a better man.

"For Jack it's another year of working, listening and taking these opportunities when they come along. Hopefully he'll have a really long career at Arsenal Football Club
 
Mwenyekiti wa Arsenal Peter Hill-Wood ameongea jana na amesema kwamba, Arsene Wenger ana kiasi kinachoweza kuongeza wachezaji wawili katika kikosi cha sasa.

Kwa hio walio katika pipeline ni Moruane Chamakh, Blaise Matuidi na Patrick Vieira. Ikumbukwe kwamba Vieira kwa sasa anagharimu kiasi cha £750,000 tu.

Arsene aliwaambia Bordeaux kwamba ana kiasi cha £6 na Bordeaux wakakataa.

Lakini raisi wa Bordeaux bwana Jean-Louis Triaud ametoa mwanga kwamba gentleman's agreement inaweza kufikiwa na Chamakh akasajiliwa na Arsenal mwishoni mwa wiki hii.

Na mzee Hill-Wood amesema kwamba Cesc Fabregas hatauzwa kwa AC Milan au timu ingine yoyote ile.
 
Rosisky kaumia tena wiki 6 nje

...dah, kweli aisee... sikuamini mpaka nilipotafuta vyanzo vya habari. Naanza kutokwa na imani na hayo mazoezi ya Arsenal sasa. naweza kukisia 40% ya wachezaji majeruhi wa Arsenal wanaumia kambini/mazoezini.

Kunani huko nyieeeeee? Mazoezi magumu sana nini? 😡
 
Inawezekana,lakini kuna kitu kingine kitaalamu inasemekana kila mtu anweza kuumia na mnaweza mkaumia wakati mmoja na jeraha lika ni aina moja na sehemu moja katika mwili.Lakini mmojawapo inatokea anawahi kupona kuliko mwingine;hii inatoka na aina ya mwili wa mtu.Nafikiri huyu Rosicky aina ya mwili wake ni wale watu ambayo miili yao ni wagumu ku-recover.
 

Kwa namna Manchester City walivyojiimarisha safari hii wanapaa mwanangu!
 

,...Abuu Diaby, Samir Nasri, Gallas, Van Persie na Eduardo usiwasahau humo, wote niggling 'hamstring' kila kukicha.
 
,...Abuu Diaby, Samir Nasri, Gallas, Van Persie na Eduardo usiwasahau humo, wote niggling 'hamstring' kila kukicha.

Ameshaanza Tomas Rosicky.
 

Atasajili tu, anasubiri deadline.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…