Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

dogo karudi!!

Van Persie returns to squad for Arsenal

Arsenal striker Robin van Persie and defender Mikael Silvestre have both trained ahead of Tuesday's UEFA Champions League semi-final second leg against Manchester United.
The news is a welcome boost for the Gunners, who lost the first leg at Old Trafford 1-0, after Croatian forward Eduardo was ruled out for three weeks with a groin problem.

Van Persie has also been struggling with groin trouble and has not played since Arsenal's 2-1 FA Cup semi-final loss to Chelsea.

But the Dutchman has returned to training ahead of the second meeting with European champions United and could partner Emmanuel Adebayor in attack as boss Arsene Wenger considers a 4-4-2 system.

Silvestre, meanwhile, was a doubt after he picked up a groin injury versus his former club but could now be in contention to feature.
Robin Van Persie returns to squad for Arsenal - UEFA Champions League - ESPN Soccernet

Shukran mkuu nilikuwa sijatembelea tovuti hio.

Kwa hio timu itakuwa kati ya zifuatavyo:

Almunia, Sagna, Gibbs, Toure Sylvester,Diaby,Walcort,Fabregas,Van Persie Nasri na Adebayo.

Au Denilson anaweza kumbadilisha Diaby na Bendtner kumbadilisha Ade.

Na watacheza system yao ya 4-4-2
 
Dah! hii mechi nitakuwa kwenye paper. Ila nitaicheki recorded. Masanilo anaweza fikiri nimemkimbia jamvini. Go go Gooners!
 
Na wasichana wa Arsenal wameshinda kombe la FA.

Wakicheza mtindo uleule wa pasi za chini na kupanga mashambulizi kutoka kwenye backline ya ulinzi, Arsenal hawakuchukua muda sana kufunga goli la kwanza katika dakika ya 32 liliofungwa na Katie Chapman baada ya mpira uliopigwa awali na Laura Basset kumshinda kipa wa Sunderland.

Baada ya mapumziko mchezo ulikuwa wa pasi za hapa na pale na timu zote zilijaribu mashuti na kusogea langoni mwa kila mwenzie.

Na katika dakika ya 90 msichana Kim Little nae akaifungia Arsenal goli la pili baada ya move nzuri baina ya viungo wa Arsena waliongozwa na Rachel Yankee ambae pia ni mshambuliaji wa pembeni wa timu ya taifa ya wanawake ya Uingereza.

Sunderland walipata goli la kufutia machozi lililofungwa katika dakika ya nyongeza mfungaji akiwa msichana Kelly McDougall ambae aliunganisha cross ya msichana Demi Stokes.

Ulikuwa ni mchezo mzuri kutizama na labda umeleta baraka kwa wavulana wa Arsenal hio kesho.
 
Last edited:
...Van Persie...aaa aaaaaaa
Goooooooooooooooooooooooooooooool !!!

....ala! kumbe 'naota', ...masaa yanakaribia wazeeeeeeee!

ha ha aa

😀
 
...nawahakikishia, leo tutabanana humu humu! asitoke mtu leo 😀 kazini nisha 'call- a sickie!'...

"asie mwana aeleke jiwe!!!"
 
Kesho ni 2-0 Go go Gooners! The Bluez najua daraja limeshavunjwa tayari na the trinity strickers of Barca.

Shadow!wewe sema matokeo yoyote kwa mechi ya kesho ila elewa Chelsea anacheza fainali,siwezi jua tutapita kwa goli ngapi kwa hiyo club bora ya dunia msimu huu,ila nasikitika kuwaambia ya kwamba Barca hatutamwona Roma.kama itakuwa 5-4 au 9-8 mimi sijui but at the end of the day Chelsea will play final game at Rome
For today!kama Arsenal wakitulia watashinda 3-1,ila Mashetani wakibana na Ade akashindwa kulenga goli,mechi itaenda Extra time baada ya ushindi wa goli 1-0 watakaoupata Arsenal.
All the Best Bello!sisi tuachia hao vicheche wa kiispaniola tuwaoneshe mji wa London ilivyo.
 
Shadow!wewe sema matokeo yoyote kwa mechi ya kesho ila elewa Chelsea anacheza fainali,siwezi jua tutapita kwa goli ngapi kwa hiyo club bora ya dunia msimu huu,ila nasikitika kuwaambia ya kwamba Barca hatutamwona Roma.kama itakuwa 5-4 au 9-8 mimi sijui but at the end of the day Chelsea will play final game at Rome
For today!kama Arsenal wakitulia watashinda 3-1,ila Mashetani wakibana na Ade akashindwa kulenga goli,mechi itaenda Extra time baada ya ushindi wa goli 1-0 watakaoupata Arsenal.
All the Best Bello!sisi tuachia hao vicheche wa kiispaniola tuwaoneshe mji wa London ilivyo.

Mkuu Kisale,

Nimekupata. Kesho tutakuwa hapo darajani. Kazi kwenu na hao trio strickers. Kesho isije ikawa wamebana wameachia 3-0.
 
Wapenzi wa Arsenal leo kaeni mkao wa kula 🙂 Leo tunampiga bao 2 kwa bila SAF na MANU watuni Manchester wakkapange mikakati ya kuwazuia L'pool wasiwanyang'anye tonge lao mdomoni.
 
Mbu,BAK na Shadow!...

Naombeni tu leo msije mkapata midadi mpaka mkaparamia screen zenu!..Haya, naona masaa yanakatika..Leo ni leo! All the best
 
Mbu,BAK na Shadow!...

Naombeni tu leo msije mkapata midadi mpaka mkaparamia screen zenu!..Haya, naona masaa yanakatika..Leo ni leo! All the best

BJ wasalaamu!

Hakuna cha mdadi wala nini! . BJ, Leo naomba umwangalie kwa makini mtafuna "big G" anavyocheza lizombe au Sangula! bila kujijua...
 
BJ wasalaamu!

Hakuna cha mdadi wala nini! . BJ, Leo naomba umwangalie kwa makini mtafuna "big G" anavyocheza lizombe au Sangula! bila kujijua...

Shadow!

Nina wasiwasi na taya zake tu japo ngome yake imara!..Leo siongei sana, baada ya mechi ndo mambo yote jamvini. Kama vile nakuona,umeshajipangia magoli ya arsenal dhidi ya man u..he he! Ushabiki una raha yake ila kufungwa kunauma kweli tena mechi muhimu..
 
Ikawa jioni ikawa asubuhi..........! or hayawi hayawi.......! Welcome on board Emirates!
 
Shadow!

Nina wasiwasi na taya zake tu japo ngome yake imara!..Leo siongei sana, baada ya mechi ndo mambo yote jamvini. Kama vile nakuona,umeshajipangia magoli ya arsenal dhidi ya man u..he he! Ushabiki una raha yake ila kufungwa kunauma kweli tena mechi muhimu..

BJ, Leo kwa raha zetu. Bunduki kwa kwenda mbele. Van Parsie na Bendner ndo watakaomaliza kazi.
 
Back
Top Bottom