Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

BJ, Leo kwa raha zetu. Bunduki kwa kwenda mbele. Van Parsie na Bendner ndo watakaomaliza kazi.

Du! Kumbe Mdachi in the house leo, he he..Ishalaah lolote litakalojiri, tutapongezana na kupeana pole au siyo!!?...

Naona muda unazidi kusogea, kama vile mtihani ukikaribia wakati ule tunasoma! Sipati picha una hali gani uliko?
 
Du! Kumbe Mdachi in the house leo, he he..Ishalaah lolote litakalojiri, tutapongezana na kupeana pole au siyo!!?...

Naona muda unazidi kusogea, kama vile mtihani ukikaribia wakati ule tunasoma! Sipati picha una hali gani uliko?

BJ,

Huku shwari na kijua cha spring do kinachoma swaafi kabisa. Hapa ni mwendo mdundo tu. Leo lazima sangula na lizombe lichezwe!!
 
BJ,

Huku shwari na kijua cha spring do kinachoma swaafi kabisa. Hapa ni mwendo mdundo tu. Leo lazima sangula na lizombe lichezwe!!

Unaenjoy spring na ushindi raha sana! Kweli kushinda kuna tofauti na kushindwa zile shamrashamra..Wafurahisheni washabiki hapo Emirates leo lasivyo ni vilio tu!.
 
Unaenjoy spring na ushindi raha sana! Kweli kushinda kuna tofauti na kushindwa zile shamrashamra..Wafurahisheni washabiki hapo Emirates leo lasivyo ni vilio tu!.

BJ, Leo profesa Wenger najua anakuja na nondoz mpyaaa kabisa!
 
Jalamba!!

_45735490_fabregas_get.jpg
 
BJ, Leo profesa Wenger najua anakuja na nondoz mpyaaa kabisa!

Shadow!

Wenger anajitahidi na vijana wake,tusubiri hizo nondoz.

Nimeipania hii mechi..Mshindi tayari yupo ila ni nani? Jibu baada ya mpira.

Ningependa matuta kama watafikishana huko,safi kweli!..
 
Shadow!

Wenger anajitahidi na vijana wake,tusubiri hizo nondoz.

Nimeipania hii mechi..Mshindi tayari yupo ila ni nani? Jibu baada ya mpira.

Ningependa matuta kama watafikishana huko,safi kweli!..

Powa Powa BJ, Mimi natoka kidogo. Enjoy the game!
 
Shadow!

Wenger anajitahidi na vijana wake,tusubiri hizo nondoz.

Nimeipania hii mechi..Mshindi tayari yupo ila ni nani? Jibu baada ya mpira.

Ningependa matuta kama watafikishana huko,safi kweli!..

...BJ, am curious kuona kesho kwenye avatar yako utaweka jezi gani! 😀
 
...BJ, am curious kuona kesho kwenye avatar yako utaweka jezi gani! 😀

Mbu!..he he,acha tu! Nipo Himo(njia panda) kwa hili...Lets wait and see..

Hali yako ikoje sasa, maana muda unazidi kufika!..mchecheto juu
 
Mbu!..he he,acha tu! Nipo Himo(njia panda) kwa hili...Lets wait and see..

Hali yako ikoje sasa, maana muda unazidi kufika!..mchecheto juu

...nipo shwariiiiiiiiiiiiiiiii, sina wasiwasi...kama kumsukuma mlevi! mtatukoma leo he he he heeee!
 
Siamini Exaux umejiunga Arsenal..

Mbu big up, you have a very convincing power!..Na Arsenal washinde sasa ili huyo Exaud asijuteeeeee kushangilia Emirates..

...watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!! BJ hushangai leo Man U wenzio wooooote wameingia mitini?

...mie ni kicheko tu hapa, ha ha haaaaaa 😀
 
...watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!! BJ hushangai leo Man U wenzio wooooote wameingia mitini?

...mie ni kicheko tu hapa, ha ha haaaaaa 😀

Wametulia wakisikilizia halafu baada ya mechi ndo utawasoma jamvini..

Yaani unacheka kweli na furaha unayo, siku isije kuisha vingine!. Halafu utapotea wee mpaka kesho.
 
Hali ibaki hivyo hivyo hata kama mtafungwa yakheee!..

ding' ding' ding'.... hivi sasa ni saa moja kamili kwa saa za ulaya magharibi! na hii ni taarifa ya habari;...." BJ... huu ni mpira tu mamie, kesho maisha yanaendelea kama kawaida!".

Yafuatayo ni matangazo ya vifo; Imarati,.....! ha ha haaaaa 😀
 
...'mbele kiza mamie' ,.acha nijichekee zangu mie, lol! ...maisha yenyewe haya haya, raha ujipe mwenyewe! nikisubiri mpaka Adebayaor na Van Persie wafunge saa ngapi hiyo?...
 
Back
Top Bottom