Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kaulizwa kama ana mpango wa kusajili January kajibu labda wakiona mchezaji ambaye akifika ataleta impact na siyo kumleta mchezaji kwakua ni mchezaji tu.
 
Kesho tunaandika history.

Kwa mara ya kwanza tutashinda huku tumevaa zile jezi
OIP (2).jpeg

pira la leo hili chunguzen mapema 😁
 
Back
Top Bottom