Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule fisadi mpigeni tu 😃😃😃Kwahiyo kesho Jamaa zetu mtatushabikia Liver tuzidi kuongoza league au City ashinde awapumulie? 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea anamtoa Salima anamuingiza Ben Kinyaia akasawazishe, leo Rahim Sterling ndio MoM[emoji16][emoji16][emoji16]Ndiyo hivyo yaani
Just kucut in na kushut wapuuzi wanashindwa
Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisaYule fisadi mpigeni tu 😃😃😃
Yule mhuni genge lake la mafisadi lolote baya liwakute. Nampenda na namheshimu sana ila namuombea mfululizo wa vichapo tu mpaka ligi iishe.Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisa
Kumbe kuna mshabiki wa arsenal anayo Imani team yake itabeba epl/uefa ,haya ni matumizi mabaya ya IMANI na AKILI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chawa la Masingeli hesabu zake bado zipo valid, ngoja tusubiri tuone. View attachment 3245625
Mhuni mwakani anarudi pale pale miaka 20 ya kipara epl atachukua mara 14 ,Arsenal ataendelea kuwa muhangaYule mhuni genge lake la mafisadi lolote baya liwakute. Nampenda na namheshimu sana ila namuombea mfululizo wa vichapo tu mpaka ligi iishe.