Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naungana na wewe mkuu, kweli eduaado ataleta nguvu mpya. Hawajamaa 2kiwapiga kimoja ndo wataacha kudefend
 
Vanpersiiiiiii. Sasa wataachakudefend. Arsn leading by 1.
 
Van Persieeeeeeeeeeeeeeeeeeee! goal to the Arsenal. Justice has finally been done!!!
 
nice game.this was the real arsenal that we r used to,fantastic game ,very entertaining n thats our style.
 
Well done! Yeah, the real Arsnal. We just need to keep it up and work more on our finishing. Ngependa kuona Arsnal ambayo 2napopata chance 1, goli 1. Tutaogopeka nakuambia msimu huu!
 
nice game.this was the real arsenal that we r used to,fantastic game ,very entertaining n thats our style.

Yes Sir. ni kweli kabisa unachosema....ila kipa wao anajitaidi, yaani ka save nyingi kama mrchi yetu ya mwisho. Yes we have 3 points, kinachotakiwa ni kuangalia mechi zinazofuata. Mpira umechezwa vizuri. Big up Arsenal!
 
Many wasted chances on the match, kuna tatizo gani katika final quarter of the pitch?
 
Hili goli la Arshavin ingawa alikuwa offside ni zuri sana, the backheel was a rare technique!
 
Hili goli la Arshavin ingawa alikuwa offside ni zuri sana, the backheel was a rare technique!

Goli la offside halina utamu wowote, labda kwenu manazi kila kitu kwenu mwaona almasi.

Nway, soka lilikuwa la upande mmoja na wagiriki wana wachezaji wazuri kwenye kukaba. Kama Arsenal ikitaka kuchukua vikombe msimu huu, inabidi ijifunze kushinda mechi ngumu na timu zinazo-defend vizuri kama hii.
 
Tangu mmeanza Champs league mnabebwa
1.Game ya Cleltic penati ya Eduardo
2.Game ya kwanza ya makundi Song/Eboue alizuia mpira kwa mkono akafunga
3.Goli la jana la Arshavin Offside
 
AIG=Arsenal Ime Gongwa......tupo pamoja
Jamani humu ndani tutadiscuss klabu yetu ya Arsenal na kubadilishana mawazo jinsi gani tunavyo endela kule Champions league

by the way Ukumbi huuu tunaweza kuruhusu clabu moja kuwa discussed nayo ni WESTHAM UNITED kutokana na uhusiano mzuri ambao vijana wengi wenye Asili ya Tanzania wanvyonufaika na Academy hapo Upton Park

I hope itabidi achaguliwe moderator wa hii forum maana najua majitu ta TOTTENHAM na MAN U watatuvamia humu for a start lets discuss CHAMPIONS LEAGUE

th_150px-Arsenal_FC.png
 
AIG=Arsenal Ime Gongwa.....hawa mabwana kwa kulalamika tu hawajambo....tupo sote kaka/dada
Tangu mmeanza Champs league mnabebwa
1.Game ya Cleltic penati ya Eduardo
2.Game ya kwanza ya makundi Song/Eboue alizuia mpira kwa mkono akafunga
3.Goli la jana la Arshavin Offside
 
Back
Top Bottom