Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

nikujulishe tu, anaebambwa ni "mjinga/mpuuzi"...kumbamba mwanamke smart kwenye hili game ni ngumu sana, wacha ninyamaze nisiende nje ya thread.

umeeleweka
kwa ufupi mwanamke akiamua ku cheat ana cheat bila ya kujulikana..
lies and acting comes natural to women.....
 


hapo sasa... usikute mshefa ni fundi hasa.
lakini hatujui yanayoendelea kule kwa mshefa, usikute na huko linafukuta kama kazi, na alihamishia mapenzi mazito kwa dada wa "faraja".

tofauti na ndo maana mi nikasema kama kweli dada 'faraja' bado anampenda mumewe na ana nia ya kurudi na labda kikwazo ni hiyo haki ya ndoa alikuwa hapewi kisawasawa basi aongee na mumewe.

yaani hii ishu ina LABDA nyingi bosi, hapa umenifungua akili tena
 

hehee mae acha kuwatisha wenzio bana.....
 

bora umeliweka wazi hili nyamayao................
kumbe haya ya kufarijiana nje nyie akina dada huwa mnayafanya sana tu......
uzuri wenu nyie mko smart.......lol...........

hehee mae acha kuwatisha wenzio bana.....

bht kumbe ndivyo mlivyo hivi.........mnakuwa smart, kumbe mnakula taratibu msimshike kipofu mkono lol...
 

bacha, ndivyo tulivyo mi na nani tena?
 
umeeleweka
kwa ufupi mwanamke akiamua ku cheat ana cheat bila ya kujulikana..
lies and acting comes natural to women.....

unajua nini The Boss, sisi akina baba kumbe huwa tunajisahau/tunajiachia sana mpaka inakuja kuonekana ......
wenzetu nao kwenye game kumbe wapo tu ila, ule usmart ndo unaowasaidia!
 

ina maaa wewe ulikuwa hujui?
wazee walisema ukimchunguza kuku huwezi kumla.....hukuelewa?????????
 
unajua nini The Boss, sisi akina baba kumbe huwa tunajisahau/tunajiachia sana mpaka inakuja kuonekana ......
wenzetu nao kwenye game kumbe wapo tu ila, ule usmart ndo unaowasaidia!

moyo wa mwanamke ni kama bahari
kuna mengi mno yaliyojificha.....
 
Hii tunaitaga 'kitu na boksi', chukua yote au acha yote. Ni kwamba amuache mshefa, arudishe 'hisia' kwa mumewe, then migogoro irudi upya kwenye familia yao, au aendelee na mshefa, lakini amani iwepo nyumbani kwao. Sio siri bana kuna watu hawawezi kubalance mapenzi akiwa na mtu mmoja.

Sisi wanaume ukipoteza hisia kwa mtu inakuwa balaa maana hata afanye mautundu gani kitu haisimami hasa ukiwa umetoka kuhudumiwa kwa umpendaye. Kwa wanawake naamini sio shida sana maana uanweza kupretend... au sio?
 
Kwahiyo sasa humu mmeafikiana nini? kuwa mshefa ndio suluhisho na mwokozi wa ndoa...au?
 
Mi naona ngoma droo, braza akubaliane na hali tu kuwa amevuna alichopanda, sasa akipangie matumizi. Kila kitu kina matokeo. Kinga ni bora kuliko tiba wanasema, ukishindwa kuzuia ajali ya pikipiki hadi ikatokea na ukakatika mguu, kilichobaki ni kununua crutches tu maisha yaendelee, utanung'unika hadi lini?
 
Reactions: Mbu
wewe, Nyamayao na akina dada wengine............................

mnaonaje mkaendelea na thread mkaachana na hiyo dondoo? hapo hakuna cha bht wala nyamamayo, kwani huko maofcn kwenu hamyaoni hayo? au mmnataka kujifanya ndio jipya mmelijua leo kutoka kwa nyamayao?..
 
neno mshefa naona ni zuri zaidi kuliko buzi lol

Inaonyesha mshefa anazo sana na anamaliza kila kitu kwa huyo mama.
MJ1 mwambie aombe talaka kwa mmewe kama hawezi kumwacha mshefa ili ale kwa uhuru.
 
<br />
<br />
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…