The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
nikujulishe tu, anaebambwa ni "mjinga/mpuuzi"...kumbamba mwanamke smart kwenye hili game ni ngumu sana, wacha ninyamaze nisiende nje ya thread.
umeeleweka
kwa ufupi mwanamke akiamua ku cheat ana cheat bila ya kujulikana..
lies and acting comes natural to women.....