Inaonyesha mshefa anazo sana na anamaliza kila kitu kwa huyo mama.
MJ1 mwambie aombe talaka kwa mmewe kama hawezi kumwacha mshefa ili ale kwa uhuru.
moyo wa mwanamke ni kama bahari
kuna mengi mno yaliyojificha.....
bosi naona leo unashona makoti kwa mkono aiseemoyo wa mwanamke ni kama bahari
kuna mengi mno yaliyojificha.....
......................Shemeji!! Kuwa hukuwa unajua hilo?? mbona ni kawaida sana?? ulimwengu huu wa usawa umetuletea both pros and cons.
ukitaka kumaanisha nini hasa? nyie mioyo yenu haifichi mapapa na manyangumi? dont you guys lie and act as well?
Mbu, kila kitu kina ukomo, hata huo uvumilivu wenyewe! kiwango cha ukomo wa uvumilivu kitatofautiana baina mtu na mtu, mwingine akitukanwa ndo mwisho, mwingine akitolewa hata manundu yumo tu...
utakapofikia ukomo wa uvumilivu basi utajiondokea mwenyewe bila hata katekista wala mzazi kushauri (ushauri si lazima ufuatwe). na unapofikia huu ukomo sasa nadhani lawama zimwendee tu aliyesababisha haya yote.
bht wewe mwenyewe umesema kuwa wanaume kuna mambo tumejipa kuwa na haki yetu
including cheating.....
utaona kuwa wanaume hatuhangaiki saaana kufanya mambo kwa siri
not that natetea au kuwa proud na hiko but inatufanya tuwe wa wazi kiaina......
sasa nikisema moyo wa mwanamke ni kama bahari....hapa nazungumzia uwezo wa wanawake
kuficha jambo moyoni mwake......mfano kanogewa nje...lakini mume unaweza kabisa usijue
Mbu, kila kitu kina ukomo, hata huo uvumilivu wenyewe! kiwango cha ukomo wa uvumilivu kitatofautiana baina mtu na mtu, mwingine akitukanwa ndo mwisho, mwingine akitolewa hata manundu yumo tu...
utakapofikia ukomo wa uvumilivu basi utajiondokea mwenyewe bila hata katekista wala mzazi kushauri (ushauri si lazima ufuatwe). na unapofikia huu ukomo sasa nadhani lawama zimwendee tu aliyesababisha haya yote.
Umeongea point haswaaaa.
MJ1 mwambie huyo mama amjaribu huyo mshefa kama kweli anampenda na yupo tayari kubeba majukumu aombe awe bi mdogo na aachane na mmewe hapo ndipo utakapo jua akili ya mwanaume.
anazo hela? sijaona pahala hela imezungumzwa humu....labda tuseme penzi lenyewe tu limemnogea! mapenzi sio pesa Fidel, watu wanaacha waume zao ndani na mapesa yao wanahangaika huko na wauza mkaa....shauri yako
...Kiongozi Fidel80....safi kabisa kamanda, ila kwa kesi hii inavyojionyesha; Kwa namna moja au nyingine ndoa hii ilishindikana kuvunjika. Hii inawezekana mke na mume walikosa ujasiri wa kuachana. Narudia tena, Mke huyu alisha suffer abuses za kutosha na kwa kiwango cha uvumilivu wake (Ref hoja ya bht hapo juu) alimpata mfariji, kama mume naye kwa kipindi hiko alipokuwa anamnyanyasa na labda hata kumtelekeza mkewe.
....ninachotaka kuangalia kwa upeo hapa ni je? Huyo mwanamke ambaye miaka nenda miaka rudi amejiona amedhalilika kiasi cha kutosha, amenyanyaswa, amepigwa, ameumizwa, amefikia hatua ya kujiona hana thamani kwa mwanaume yeyote sababu ya matusi, kejeli na yote uyajuayo,....halafu akatokea mwanaume akamfariji, akampa matumaini, akapata amani...furaha, na matumaini angalau kwa muda mchache anaokuwa nje ya nyumba yake...
JE? Unadhani ni rahisi kwa mwanamke huyo kumsahau huyo mfariji wa maisha yake kipindi kile cha dhiki na majuto makuu? Unaukumbuka msemo, 'aliyeumwa na nyoka?....' unaamini mwanamke huyu baada ya haya yote, hana kovu moyoni mwake ambalo hapaswi kukumbukia aliyofanyiwa?....
Good one Mbu
Let me tell you some... Sijawahi kusikia mahusiano yasiyokua na abuse, adn you know why?? because we have different thresholds and kibaya zaidi malezi tofauti and definition ya abuse ni very wide
Hakuna mwanaume ambaye hajawahi kuwa abused kwenye relationship vivyo hivyo wanawake...the only challenge we have ni how we communicate these abuse to societies around us
Pili, hakuna anayeamua ku-cheat akashindwa, and 99% huchukulia abuse kama sababu... hint, sikiliza wanaume wanaocheat wanavyoongelea mahusiano yao na hao "lovers wa nje"
Once you start cheating, there is no way you will be able to stop completely in a lifetime, because utakua umeprove kwamba IT IS DOABLE!!
LASTLY, in a country like Tanzania, with all these hard knock life na makundi yetu ya kudanganyana... cheating could be as high as 90% kwa walio kwenye mahusiano
MUACHE HUYO DADA ALE MAISHA, NATURAL COURSE ITAKUJA ILI YAISHE
kuna kitu kuhusu cheating....inayofanya iwe tamu sana...
1.kwanza ni siri
2.hupati enough kwa sababu lazima urudi kwako..
3.hakuna kuboana wala kuchungana....
4.mnapokutana wote mnakuwa na kiu...
siri inaongezaje utamu?
kwa nini usijilie ukasaza tu nyumbani kwako maana ni vyako kuliko kwenda kuneng'eneka milango ya wenyewe?
kuboaba na kuchungana? hizo ni spece tu za mapenzi uchungwe wee mbuzi?
hiyo kiu nyumbani huwezi kunywa maji ya kutosha ukaimaliza? tena maji chaguo lako, ukitaka ya mtungi, ya bilauri. ya ndoo, ya uhai, unajichagulia tu hadi yalowekwa water guard yapo.