Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hakikisha kwanza unamvulia chupi ndio usimame na bango. Bango bila papuchi hata baiskeli hupati.... I TELL YOU ME...Bango nasimama nalo pale round about ya airport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha kwanza unamvulia chupi ndio usimame na bango. Bango bila papuchi hata baiskeli hupati.... I TELL YOU ME...Bango nasimama nalo pale round about ya airport
Jamaa amewatafuna waumini wake sana, wengine wamekuwa wakitishiwa wakitoa Siri za majoka makubwaNi sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.
Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.
Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.
Akiwatafuna kuna ubaya gani?Jamaa amewatafuna waumini wake sana, wengine wamekuwa wakitishiwa wakitoa Siri za majoka makubwa
Akiwatafuna kuna ubaya gani?
Mapadri wanatafuna watoto wadogo bora yeye anatafuna watu wazima.
Mtu mzima hajabakwa ameamua mwenyewe kuvua chupi atafunwe kuna ubaya gani?
Biblia inasemaje kuhusu uchoraji wa tattoo?
Msaada please 🥺
Tattoo ina ujumbe wake. Kuchora picha ya nabii maana yake nini?Ni sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.
Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.
Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.
Kama mnajua anatafuna sana kondoo mmeshindwajwe kumvizia na kushoot kapicha akiwa kasinamia ukucha mpige hela?
Acheni ukishoiya
Handsome, anajipenda,ana fwedha na ni maarufu,.Hakuna mwanamke mwenye tamaa anaweza akachomoa.Huyu geo wanawake wanampenda Sana.
Ukitaka kula pesa yake mfagilie hana choyo kwa hiliHandsome, anajipenda,ana fwedha na ni maarufu,.Hakuna mwanamke mwenye tamaa anaweza akachomoa.
Wabongo Wana mbinu nyingi Sana za kupiga pesa huyu mzee ukimsifia tu anakupa pesa. Naona mashimo aliandaa maandamo ya kumsifia baada ya kupewa gari.
Sababu ana pesa na ni handsomeHuyu geo wanawake wanampenda Sana.
Kwann nini tofauti ya tattoo ya mnyama na ya mtuNi sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.
Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.
Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.