Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Biblia inasemaje kuhusu uchoraji wa tattoo?
Msaada please 🥺
Mambo ya walawi 19:
Leviticus 19:

28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana.

28 You shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor tattoo any marks on you: I am the Lord.
 
Mwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.

Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.

"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.

Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.

Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).

Una maoni gani?

View attachment 2427554
🙄🙄🙄🙄🙄 mke wangu mtarajiwa ukijichora tattoo ya mwanaumw wengine nakuvunja miguu alafu miguu yako naiweka kabatini kwangu
 
Mambo ya walawi 19:
Leviticus 19:

28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana.

28 You shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor tattoo any marks on you: I am the Lord.
Thanks for this
 
Akiwatafuna kuna ubaya gani?

Mapadri wanatafuna watoto wadogo bora yeye anatafuna watu wazima.

Mtu mzima hajabakwa ameamua mwenyewe kuvua chupi atafunwe kuna ubaya gani?
Usi Sahau na mashekh,wanakula vitoto vya madrasa
 

Mathayo 7:15-23​

15 Mjihadhari na manabii wa uongo wanaokuja kwenu wakijifanya kondoo wasio na madhara ingawa ni watu hatari kama mbwa mwitu.

16 Mtawatambua watu hawa kwa matendo yao. Mambo mazuri hayatoki kwa watu wabaya, kama ambavyo zabibu haitokani na miiba, na tini hazitokani na mbigiri.

17 Vile vile, kila mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda mabaya.

18 Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, na wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.

19 Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa kwenye moto.

20 Mtawatambua manabii hawa wa uongo kwa matendo yao.

21 Si kila aniitaye Bwana ataingia katika ufalme wa Mungu. Watakaoingia ni wale tu wafanyao yale ambayo Baba yangu wa mbinguni anataka.

22 Siku ya mwisho wengi wataniiita Bwana. Watasema, ‘Bwana, kwa nguvu za jina lako tulihubiri. Na kwa nguvu za jina lako tulitoa mashetani na kufanya miujiza mingi.’

23 Ndipo nitawaambia waziwazi, ‘Ondokeni kwangu, ninyi waovu. Sikuwahi kuwajua.’

mwisho wa kunukuu ✍️
 
Je huyu nabii Mkuu Geo Davie nini chanzo cha hiyo Fedha anayogawa kama njugu? Kumbuka kanisa lake halina wafuasi wengi na liko based Arusha tu, pili Wachungaji wa makanisa mengine wao ndiyo wanakusanya sadaka kwa waumini ila Nabii Mkuu yeye ndiye huwapa waumini

Freemasonry
 
Wanawake ni wahanga wakubwa wa haya makanisa .
Easy target. Lakini haya yote yameandikwa mkuu:

2 Timotheo 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
² Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi,
³ wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,
⁴ wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;
⁵ wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
Kwa maana katika hao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi;
⁷ wakijifunza siku zote, ila wasiweze kabisa kuufikia ujuzi wa kweli.

Mkuu soma hilo andiko halafu angalia matendo ya hao matapeli. Kweli itakuweka huru.
 
Jimama limeiva jeupeeeeee
Ndio maana sahv sitoi salam unampa heshima mtu kumbe ana jambo na wewe 😃
 
Je huyu nabii Mkuu Geo Davie nini chanzo cha hiyo Fedha anayogawa kama njugu? Kumbuka kanisa lake halina wafuasi wengi na liko based Arusha tu, pili Wachungaji wa makanisa mengine wao ndiyo wanakusanya sadaka kwa waumini ila Nabii Mkuu yeye ndiye huwapa waumini
Nani kakumabia hana fedha? Anapiga fedha nyingi sana kutoka kwa waumini hawa wajinga. Haya yote anayofanya ni kama matangazo ya biashara na yanamwongezea wajinga wengi zaidi wa kutoa fedha.
 
Yule mwanamke Ni mpumbavu San ingekuta Ni dad angu ningemipgia bonge la tusi zito pumbavu sna unaachambua mwnaaume uanenda kuangaika na nabii mkuu sana
 
Back
Top Bottom