Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

Mke & mume walikuwa ni walimu wa shule moja hapa mjini. Baada ya kustaafu mume mafao yake alijenga nyumba na kununua mifugo anayo hadi sasa.

Mwanamke yeye alikuwa ni mtu wa maombi sana na akajikuta ameingia NGURUMO, alipopata mafao yake akaenda kupanda mbegu yote kwa huyu nabii tapeli.
Matokeo yake mume alimfukuza kwenye nyumba yake na hadi sasa huyu mama amechanganyikiwa kabisa.
Ndio hyu mwanamke mjinga nn au Ni story nyingine hyo
 
Biblia inasemaje kuhusu uchoraji wa tattoo?
Msaada please [emoji3064]
Hao kwani wanaifuata Hy biblia basi washakatazwa Hadi Kula nguruwe lakini wanaingia na nyama mpk kanisani Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8). Lakini Wanakula
 
Je huyu nabii Mkuu Geo Davie nini chanzo cha hiyo Fedha anayogawa kama njugu? Kumbuka kanisa lake halina wafuasi wengi na liko based Arusha tu, pili Wachungaji wa makanisa mengine wao ndiyo wanakusanya sadaka kwa waumini ila Nabii Mkuu yeye ndiye huwapa waumini
Mkuu hujui huyo anapanga kiwango cha sadaka?
Pia ana makanisa nje ya nchi.
Shukrani zinazoletwa hapo ni milions...sio debe la mahindi
 
Hao kwani wanaifuata Hy biblia basi washakatazwa Hadi Kula nguruwe lakini wanaingia na nyama mpk kanisani Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8). Lakini Wanakula
Ishatakaswa
 
GeorDavie neno kidogo sana kwenye ibada zake, muda mwingi ni kujisifia. Wanawake ndio wanasadiki sana haya mambo ya hawa manabiii wajanja wajanja.
 
Ni sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.

Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.

Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.
Umeandika kwa hisia kali sana mkuu. Pole kwa hilo
 
Mke & mume walikuwa ni walimu wa shule moja hapa mjini. Baada ya kustaafu mume mafao yake alijenga nyumba na kununua mifugo anayo hadi sasa.

Mwanamke yeye alikuwa ni mtu wa maombi sana na akajikuta ameingia NGURUMO, alipopata mafao yake akaenda kupanda mbegu yote kwa huyu nabii tapeli.
Matokeo yake mume alimfukuza kwenye nyumba yake na hadi sasa huyu mama amechanganyikiwa kabisa.
Kwisha huyoo
 
Hii dini usanii mwingi hapo hao watu wote wanamuamini ni nabii maisha yakinipiga nafungua kanisa kipaji Cha uongo na kuigiza ninacho
 
Hao kwani wanaifuata Hy biblia basi washakatazwa Hadi Kula nguruwe lakini wanaingia na nyama mpk kanisani Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8). Lakini Wanakula
Kwani Quran inakataza kula Nguruwe mkuu? Naomba kifungu toka quran inayokataza kula nguruwe.
 
Back
Top Bottom