Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Jeshi unajaza form 4 failure unategemea nini?"Tumeanza uchunguzi"
"Nilipopata taarifa kwa simu"
"Kutoka kwa ndugu wa huyo kijana"
"Wakimtuhumu"
"Kumpiga hadi kumvunja mguu"
POLISI........POLISI.........POLISI.........
TUNA D 2 ........
Uongo huu,...uchunguzi umeshaanza na endapo atabainika kuwa na kosa, atachukuliwa hatua za kisheria.
Uongo huu,
Kama daktari amethibitisha mguu umevunjika, na mvunjaji anajulikana kuwa ni huyo Mahita wanachunguza nini?!!
Watalindana tu hao
Matukio kama haya kwa kweli yanasikitisha sana. Hayatoi picha nzuri kwa nchi yetu. Mtuhumiwa anayehojiwa, justification ya kuvunjwa mguu kwenye kituo cha polisi inatoka wapi au pengine mimi ni ignorant wa criminal interrogation?Afisa Upelelezi Wilaya ya Arusha Mjini, Omary Mahita anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mtuhumiwa wakati wa mahojiano akiwa kituo cha polisi.
Askari huyo anatuhumiwa kumvunja mguu wa kushoto Peter Charles (21), mkazi wa Daraja II, jijini Arusha Juni 6, 2024.
Akizungumzia tukio hilo leo Alhamisi Agosti 15, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema wanamshikilia ofisa huyo wa polsi na kwamba uchunguzi umeshaanza na endapo atabainika kuwa na kosa, atachukuliwa hatua za kisheria.
"Ni kweli hilo tukio liko ofisini kwangu na tumeanza uchunguzi tangu Agosti 8, 2024 nilipopata taarifa kwa simu kutoka kwa ndugu wa huyo kijana akimtuhumu askari wangu kumpiga hadi kumvunja mguu,” amesema Masejo alipozungumza na Mwananchi.
Mwananchi
Alijikuta Jack Bauwa sio!?Afisa Upelelezi Wilaya ya Arusha Mjini, Omary Mahita anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mtuhumiwa wakati wa mahojiano akiwa kituo cha polisi.
Askari huyo anatuhumiwa kumvunja mguu wa kushoto Peter Charles (21), mkazi wa Daraja II, jijini Arusha Juni 6, 2024.
Akizungumzia tukio hilo leo Alhamisi Agosti 15, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema wanamshikilia ofisa huyo wa polsi na kwamba uchunguzi umeshaanza na endapo atabainika kuwa na kosa, atachukuliwa hatua za kisheria.
"Ni kweli hilo tukio liko ofisini kwangu na tumeanza uchunguzi tangu Agosti 8, 2024 nilipopata taarifa kwa simu kutoka kwa ndugu wa huyo kijana akimtuhumu askari wangu kumpiga hadi kumvunja mguu,” amesema Masejo alipozungumza na Mwananchi.
Mwananchi
Huyu si ndiyo yule mama yake alikua beki tatu!!??Nadhani mwanae wa mwisho huyu!!!
Ni vichekesho kwa kweli,Hii nchi inachekesha sana sio siri
Inspector wa Polisi anakiri hilo tukio limetokea na Wanamshikilia Askari huyo THEN anasema tena Uchunguzi unaendelea
Unaendelea ili wagundue nini tena?
vp ameshafikishwa kortini?Sahv yenyewe afya yake haiko sawa kivile..
Ova
Siku hizi babake anatembea kwa msaada wa fimbo. Haya maisha niyakupita tu.Atakuwa mtoto wa Omari Mahita, angeweza hata kumvunja huyo kijana shingo kwa jinsi babake alivyokuwa katili.
Wapi?Hivi Mnyika ameshaenda ? karudi ?
Wao Wanaona Vyeo Ni KingaKuna vitu watu wanafanya, hukumu ya kweli watakutana nayo mbele za haki wakishakufa. Tusijisahau kwa vyeo tunavyopewa wakuu