Arusha: Afisa Upelelezi (Omary Mahita) akamatwa kwa tuhuma za kumvunja Mguu raia

"Tumeanza uchunguzi"
"Nilipopata taarifa kwa simu"
"Kutoka kwa ndugu wa huyo kijana"
"Wakimtuhumu"
"Kumpiga hadi kumvunja mguu"
POLISI........POLISI.........POLISI.........
TUNA D 2 ........
Jeshi unajaza form 4 failure unategemea nini?
 
...uchunguzi umeshaanza na endapo atabainika kuwa na kosa, atachukuliwa hatua za kisheria.
Uongo huu,
Kama daktari amethibitisha mguu umevunjika, na mvunjaji anajulikana kuwa ni huyo Mahita wanachunguza nini?!!
Watalindana tu hao
 
Namkumbuka huyu enzi za kesi ya mbowe alitajwa sana mahakamani mtesi wa watuhumiwa
 
Matukio kama haya kwa kweli yanasikitisha sana. Hayatoi picha nzuri kwa nchi yetu. Mtuhumiwa anayehojiwa, justification ya kuvunjwa mguu kwenye kituo cha polisi inatoka wapi au pengine mimi ni ignorant wa criminal interrogation?
 
Alijikuta Jack Bauwa sio!?
 
Hii nchi inachekesha sana sio siri

Inspector wa Polisi anakiri hilo tukio limetokea na Wanamshikilia Askari huyo THEN anasema tena Uchunguzi unaendelea

Unaendelea ili wagundue nini tena?
Ni vichekesho kwa kweli,
Wanaweza kumkamata mtu kwa cybercrime kwa alichoposti mtandaoni kuhusiana na mambo ya siasa halafu wakasema uchunguzi unaendelea na wakaenda kumpekua hadi nyumbani kwake!
 
Kuna vitu watu wanafanya, hukumu ya kweli watakutana nayo mbele za haki wakishakufa. Tusijisahau kwa vyeo tunavyopewa wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…