min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Watu wa arusha asili wanasaka pesa nchi mbalimbali hapo wamebaki wapumbavu wengi na wajanja wachache🤗Yeah.. ni kama kina dogo janja kutwa kuimba chuga chuga wakati ni mrangi pure..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa arusha asili wanasaka pesa nchi mbalimbali hapo wamebaki wapumbavu wengi na wajanja wachache🤗Yeah.. ni kama kina dogo janja kutwa kuimba chuga chuga wakati ni mrangi pure..
Kwani kuna ubaya Gani mkuu? Ulipozaliwa ndiyo kwenu. Huyo dogo kwao ni Arusha haijalishi ni kabila Gani.Yeah.. ni kama kina dogo janja kutwa kuimba chuga chuga wakati ni mrangi pure..
Mista Bashite anasemaje kuhusu hilo la kuongoza wadudu katika mkoa wao?Wadudu hao , hakuna cha ajabu hapo🤔
Inatufundisha nini hadithi hii?Uislam kuhusu mkojo
Hadithi ya Ibn Abbas:
Mtume alisema:
"Hawa wawili wanaadhibiwa, lakini hawaadhibiwi kwa kosa kubwa. Mmoja wao alikuwa hajiepushi na mkojo wake, na mwingine alikuwa akisema maneno ya kuwadhuru watu."
(Hadithi ya Bukhari na Muslim)
Hahaha Warangi ni watu wa wapi?Kwani kuna ubaya Gani mkuu? Ulipozaliwa ndiyo kwenu. Huyo dogo kwao ni Arusha haijalishi ni kabila Gani.
Bashing ndio nan huyo ?Mista Bashite anasemaje kuhusu hilo la kuongoza wadudu katika mkoa wao?
Kwamba Uislamu unahimiza usafi. Hairuhusiwi muislam kutumia tissue kupangusia mavi au mkojo kama wanavyofanya wazungu na wanaofananq naoInatufundisha nini hadithi hii?
Mdudu huyo ni inzi anaishi na mavi na mikojo choonimji wa bashite huo. Huyo mdudu labda ana-project ya biogas plant.
Kimario ni mrangi?Na wengi sio wakazi asili wa arusha 🤔wengi ni wa rangi wa dodoma na singida
Mista Bashite sio BashingBashing ndio nan huyo ?
Kuna kimario walevi wa piwa na kimario wenye viwanda, jua kutofautisha hawa kenge na watu makini😂😂😂Kimario ni mrangi?
Hadithi kama hadithi TU.Uislam kuhusu mkojo
Hadithi ya Ibn Abbas:
Mtume alisema:
"Hawa wawili wanaadhibiwa, lakini hawaadhibiwi kwa kosa kubwa. Mmoja wao alikuwa hajiepushi na mkojo wake, na mwingine alikuwa akisema maneno ya kuwadhuru watu."
(Hadithi ya Bukhari na Muslim)