Arusha: Akutwa ndani na lita 70 za mkojo na kinyesi ndoo 6.

Arusha: Akutwa ndani na lita 70 za mkojo na kinyesi ndoo 6.

Uislam kuhusu mkojo

Hadithi ya Ibn Abbas:
Mtume alisema:
"Hawa wawili wanaadhibiwa, lakini hawaadhibiwi kwa kosa kubwa. Mmoja wao alikuwa hajiepushi na mkojo wake, na mwingine alikuwa akisema maneno ya kuwadhuru watu."
(Hadithi ya Bukhari na Muslim)
Inatufundisha nini hadithi hii?
 
Uislam kuhusu mkojo

Hadithi ya Ibn Abbas:
Mtume alisema:
"Hawa wawili wanaadhibiwa, lakini hawaadhibiwi kwa kosa kubwa. Mmoja wao alikuwa hajiepushi na mkojo wake, na mwingine alikuwa akisema maneno ya kuwadhuru watu."
(Hadithi ya Bukhari na Muslim)
Hadithi kama hadithi TU.
 
Back
Top Bottom