Nilijuwa tu atakuwa mchagga, basi usikute alikuwa na hizi dhana kwa ajili ya ushirikina wake machimboni au dukani kwake kwa Mangi, Wachagga bwana, kwa kweli kwa vituko tu hawajambo.
Hautakiwi mkojo ubakie mwilini ni kosa kubwa kwa waislam ndo maana unaona wanaume huchutama wakikojoaInatufundisha nini hadithi hii?
Kumbe waislamu kukojoa hua wanachutama chini Wanawake kwa WanaumeHautakiwi mkojo ubakie mwilini ni kosa kubwa kwa waislam ndo maana unaona wanaume huchutama wakikojoa
YahKumbe waislamu kukojoa hua wanachutama chini Wanawake kwa Wanaume
Pole sana mkuuuKila mtu ana matatizo yake ya akili Kuna kipindi nilipitia changamoto kubwa nikawa nafanya vitu vya ajabu mara nilale chini,mara nisioge,pombe Kila siku Kuna kipindi nikawa nachinja kuku nawapa majirani bure
Kama sio kutuliza kichwa na kupata marafiki wenye akili ungekuta nalala jalalani
Pole sana mkuuu