johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chadema ni CCM B!Kinachofurahisha Ni kwamba Bananga ametokea Chadema.
Kuna watu kina johnthebaptist, Mayala, Crimea na wengine wengi ambao tangu wakati wa mkapa walikua wakisifu na kuabudu lkn linapokuja suala la uteuzi wanafikiriwa kina Bananga kwanza.
Chadema Ni chuo.
Mawaziri Bora Hadi Sasa Ni wale waliofundwa Chadema.
Huyu kama sikosei alikuwa alikuwa katika timu ya kampeni ya Tundu Lissu!!Nimemsoma wakati fulani Instagram alikwa kama anawaaga wana Chadema.Naamini kama kawaida ya wahamiaji siku si nyingi atakula U DC.Kila la heri!!
Si njaa ni utashi wake kwani mwanzo alikuwa wapi na akaenda wapi je alikuwa na njaa tumwache Ni uamuzi wake kama alivyo Toka mwanzo na kaamua kurudi ni yeye mama anaupiga mwingi na kazi iendeleeNjaa mbaya sana
CCM BChadema ni CCM B!
RC Mongekla kasema Ally Bananga alikuwa Boss wake kule CCM!CCM B
Ni NCCR ya Mbatia
CUF ya Lipumba
Kile Cha Cheyo.
Mzee Rungwe na Chadema Ni wapinzani wa kweli.
Asiye na chembechembe za CCM ni Dr Silaa hata km alipewa ubalozi na mamlaka na CDM walimuudhi kwa Lowasa. Bado ana msimamoNdani ya Chadema siyo rahisi kumpata mtu asiye na chembechembe za CCM labda hawa madogo wa juzi Tindo, Babati na Mmawia.
Chadema ni CCM B
Kama ni kweli mbona mwawahangaisha mapolisi wa nini kila siku? Mnachekesha nyie.Si njaa....ameona CHADEMA hakina mwelekeo kisiasa.....
Mkuu ni njaa amini, kingine ni kukomoa upande aliotoka."Mapinduzi kazi ngumu wengi wanayakimbia tuliobaki tumekamia".
Unakaribisha kuendeleza ufisadi wa tozoKaribu nyumbani Bananga,wengine hamjachelewa karibuni CCM tuijenge nchi yetu sio kuzijenga familia zetu huku hata Makao makuu ya chama tu hayaeleweki
Kaenda kwao akina HamzaAmemkimbia gaidiii
Power of womenMke wake alisha saliti chama, hivyo ilikua ngumu sana yeye kubaki chadema..
Raha zipi?Kwanini nyie hamkumfukuza badala yake mliendelea kumkumbatia wakati mnajua ni mamluki?
Chadema mnaishi kwa stress sana. Hamia tu ccm mkuu huku raha tupu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuishi kwa kujipendekeza kuna gharama!! Akili wameiweka kwenye praise mode!!Kumbe unajoin kwa space ya maria? Unakuja kutafuta nini kama waliopo mule ni wabwatukaji?
Ni njaa, CHADEMA inawapagawisha.Si njaa....ameona CHADEMA hakina mwelekeo kisiasa.....
Kweli mkuu huyu jamaa namfahamu personally na nimekaa nae mara kibao alivyokuwa anazungumza nilijua ni suala la muda tu. Kuna uzo mmoja wa last year niliwahi kusema humu.Alirudi siku nyingi tu , lla labda leo kajitangaza hadharani