Arusha: Ally Bananga arudi CCM kwenye mkutano wa Rais Samia Suluhu

Arusha: Ally Bananga arudi CCM kwenye mkutano wa Rais Samia Suluhu

Mwenye Ile picha ya Ally Bananga akiwa CCM please
Alikuwa kachonga mbaya kabisa..
20211017_190609.jpg
20211017_190531.jpg
 
Siku nikifa nitamwomba Malaika anifahamishe wafuatao wapo wapi:-
1. Hitler
2. Amini
3. Osama
4. Salmin
5. Omary
6 Job
7. John
8. Paul
9. Lengai
 
Tena alichelewa kurudi, huyo alisharudi toka enzi za Magufuli,ila alichelewa tu kutangazwa. Hakuna jipya hapo.
mwingine anaehama chadema nani mseme mapema izi kauli ziwe chache sasa
 
Huyo ni Malaya wa kisiasa alikuwa CCM akahamia CDM sasa karudi CCM.
Ni umalaya tu unamsumbua na kumuwasha.
 
Siku nikifa nitamwomba Malaika anifahamishe wafuatao wapo wapi:-
1. Hitler
2. Amini
3. Osama
4. Salmin
5. Omary
6 Job
7. John
8. Paul
9. Lengai

huyo malaika sasa utakutana nae kwa dhambi unazofanya?
 
Taswira halisi ya watu wa Arusha u-mrina unawasumbua sana. Leo wapo na huyu kesho wapo na yule.
 
Tatizo la Vyama ambavyo havina ideological Differences bali ni Platform ya Kujipatia Uongozi...

Ingekuwa ukienda Chama A kutoka B kuna Utofauti wa Ideology; Mtu kamwe asingetoka huku na kwenda kule no matter Uongozi wala kutokuelewana..., Kwa mtindo huu motivation ya watu ni Kura na Kula;

Wanasiasa na Watanzania wanaojua maana na tofauti ya itikadi ni wa nadra sana. Itikadi kwao ni jina la chama!

Vyama, hasa chama tawala ni platforms zinazotengeneza fursa ya ajira inayolipa vizuri zaidi nchini. Hicho ndicho pekee kinachofahamika na kuhamasisha watu kujihusisha na siasa za vyama.
 
Mi inanifurahisha michango ya wanachadema tu humu jinsi wanavyopeana moyo na kufarijiana....wanajifanya kujikaushaaaaa km halijawauma vileee kumbe internally 'jiti' lachoma balaa. Swali language na mshangao wangu tu ni kuwa mikausho hii na mafarijiano haya moaka lini maana naona umri unaenda tu na watu wanaendelea kukomaa na sababu zilezile, 'kafika bei', 'huyo alishaondoka zamani tu ilikuwa bado kujitangaza', 'njaa mbaya' n.k. Husikii sababu zingine zilizokomaa kidogo.....hizo hizo tuu miaka yote hii
 
Jamaa kula kulala tu lazima ahame ili amtetee vizuri mkewe anaemuweka mjini ambaye ni miongoni mwa wabunge covid 19
 
Mwanachama wa Chadema, Bananga arudi CCM

Alikuwa Diwani wa Kata ya Sombetini Katika Jiji la Arusha kwa tiketi ya CHADEMA 2015 hadi 2020.


Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Ally Bananga leo Jumapili ametangaza kurejea tena CCM mbele ya Rais Samia Hassan “nawashukuruni vijana wenzangu wa CCM ambao niliwasubiri mje Chadema lakini hamkuja na leo nimerudi nyumbani.”

Nawaomba wana CCM wenzangu, mniruhusu niwe miongoni mwao ili tusaidiane na mama yetu katika kueleza mazuri yanayofanyika kuelezea mazuri yanayofanyika na mama nchi inatabasamu, inapumua- Ally Bananga, aliyekuwa Chadema sasa amerejea CCM

Pia, soma;
Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Huyu kama sikosei alikuwa alikuwa katika timu ya kampeni ya Tundu Lissu!!Nimemsoma wakati fulani Instagram alikwa kama anawaaga wana Chadema.Naamini kama kawaida ya wahamiaji siku si nyingi atakula U DC.Kila la heri!!
 
Huyu alikuwa arudi muda mrefu ni aibu tu ndio zilikuwa zinamzuia, kila akiropoka upuuzi wake watu wanamuangalia tu wanasema huyu hana maana, ametongozwa na kina Msando na yule jambazi aliehukumiwa jana siku nyingi na bia zao akanywa hakuwa na jinsi.
Alishakula vya watu eh?
Alitongozwa mpaka ameingia kingi
 
Kwanini nyie hamkumfukuza badala yake mliendelea kumkumbatia wakati mnajua ni mamluki?

Chadema mnaishi kwa stress sana. Hamia tu ccm mkuu huku raha tupu

[emoji23][emoji23][emoji23]

Afukuzwe apate kick? Watu walimpotezea muda baada ya kugundua nyendo zake. Huoni kaondoka mwenyewe bila kupewa kick isiyo ya lazima?

Mimi kama ni kuikubali ccm ningeikubali muda sana, lakini hiyo sijawahi hata kuitamani. Niko hapa jukwaani miaka 10 sasa, tazama hata kama nimewahi kuitamani kwa bahati mbaya. Yaani hata Makada wa CCM akina Lowassa, Sumaye, na taka nyingine ngumu toka ccm zilivyokuja Cdm nilikwazika ile mbaya. Na sijawahi kumuunga mtu yoyote aliyetoka ccm zaidi ya Dr.Slaa. Hivyo kwangu kuondoka kwa Bananga ni furaha ya ajabu.
 
Kweli njaa ikihamia kichwani ni hatari kwa TAIFA....huyu njaa kali analelewa navwale covid 19....unadhani atafanyeje njala njala .....
 
Kinachofurahisha Ni kwamba Bananga ametokea Chadema.
Kuna watu kina johnthebaptist, Mayala, Crimea na wengine wengi ambao tangu wakati wa mkapa walikua wakisifu na kuabudu lkn linapokuja suala la uteuzi wanafikiriwa kina Bananga kwanza.
Chadema Ni chuo.
Mawaziri Bora Hadi Sasa Ni wale waliofundwa Chadema.
 
Back
Top Bottom