Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsiogopeDaah, what a crisis!!!!, ni nini hiki jamani?! Tubuni na mkamilishe bwawa la Nyerere haraka kama redemption
Kisu hakina mazoezi ni timinghaiwezekani kabisa Mimi niswage huku unauza ng'ombe na ukiuza unakula na wanao baba ukiambiwa eti mkubwa ,mkubwa kwake na familia yake .........una umri miaka 45 au 47 bado unatamani kupigana na mtu miaka 20 na huna mazoezi yakutosha !
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
UsiogopeHizi taarifa za kuuana ni kama imekuwa janga la kitaifa
Kuna mkoa gani hautokei mauaji nchi hii? Just name one. Labda ulizaliwa basi mwezi huu wa February 2022.Mkoa una laana huo
Pamoja na Kilimanjaro
Mpka sasa sijasikia tukio kutokaKuna mkoa gani hautokei mauaji nchi hii? Just name one. Labda ulizaliwa basi mwezi huu wa February 2022.
biblia inatumika vibaya sana.Hii roho ya mauaji Mungu atunusuru nayo
Shetani ameamua kututumia na atutumie tena
Tuombe sana na kufuata mapenzi ya Mungu ili kuishinda roho ya mauti inayotembea kwa kasi sana ili kushindana na roho ya uhai roho ya Mungu. Yaani kuzimu imefungua mdomo kumeza... tuombeane rehema za mungu
Ufunuo 6:4
"Akatoka farasi mwingine, mwekundu sana, na yeye aliyempanda alipewa kuiondoa amani katika nchi, ili watu wauane, naye akapewa upanga mkubwa."
biblia inatumika vibaya sana.
Kumbe ni kwa ajili ya mifugo?Daah, what a crisis!!!!, ni nini hiki jamani?! Tubuni na mkamilishe bwawa la Nyerere haraka kama redemption