Arusha, amuua kaka yake kwa kisu baba yake akishuhudia

Kisu hakina mazoezi ni timing
 
Baba mjinga, alishindwa kuweka sawa mambo ya familia wasingepigana
 
Ukisikia wanawaachia wazee wa ukoo ujue hapo ataadhibiwa kwa kuchapwa fimbo 70
 
biblia inatumika vibaya sana.
 
Wafia DINI kwa unafiki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Roho ya Mauaji hiyo leo ndo iwe gumzo kwamba ndo tumeanza kuuana?
Kama tunaongelea mambo ya mauaji basi kizazi cha sasa ndo angalau kina USTAARABU kwenye matukio ya kutisha ukilinganisha na vizazi vilivyopita vya binadamu tena ukizingatia idadi ya watu kwa zama husika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…