ARUSHA: Askari Polisi 7 waliombambikia pembe za ndovu Prof. Justin Maeda na kuchukua milioni 100 wafukuzwa kazi, Profesa afunguka

Sio Tanga tu Mkuu, hata Njombe ni hivyo hivyo yaani. TAKUKURU ya huko ukiwapatia tu taarifa za MHALIFU, wanaungana naye na kupiga pesa huku wewe mshitaki ukiachwa SOLEMBA. CCM imeharibu sana nchi hii.
 
Kila mtu angekuwa anakomaa hivi, rushwa ingepungua.

Tatizo wanapata kichwa kwa kuwa kuna watu wengi wanalipa.

Polisi wamekuwa majambazi.
Shida iko huko TAKUKURU bosi, mtu akipeleke malalamiko wanaungana na MHALIFU kupiga hiyo pesa. Mfano ni hapa TAKUKURU Njombe, washenzi hawa wanakula milungula kama hawana akili vile. Haya MAGENGE ya CCM ni vyema katiba mpya ikayafutilia mbali.
 
Sio Tanga tu Mkuu, hata Njombe ni hivyo hivyo yaani. TAKUKURU ya huko ukiwapatia tu taarifa za MHALIFU, wanaungana naye na kupiga pesa huku wewe mshitaki ukiachwa SOLEMBA. CCM imeharibu sana nchi hii.
Sijui watu watakimbilia wapi
 
Shida iko huko TAKUKURU bosi, mtu akipeleke malalamiko wanaungana na MHALIFU kupiga hiyo pesa. Mfano ni hapa TAKUKURU Njombe, washenzi hawa wanakula milungula kama hawana akili vile. Haya MAGENGE ya CCM ni vyema katiba mpya ikayafutilia mbali.
TAKUKURU Tanga wanakalia kesi miaka nenda rudi
Wale wanaotuhumiwa wanakutana nao police mess au kwenye hoteli
 
Jeshi la Polisi kwa ujumla limeoza,it needs complete overhaul.Mbona wanasema wazi kuwa rushwa ni haki yao kwa kuwa wanaweza kuitwa kufanya kazi anytime.Huwa nawauliza,kwani mlipokubali kazi ya uaskari si mlijua nature of work.Wanabaki wana-kenua tu, wala hawana majibu.
 
Una Changamoto ya uelewa
 
Wakomae wapi wewe kibatala ni mwizi tu km wezi wengine wa serikali.hapo hiyo kesi nenda rudi kwake yeye ndio anataka posho.
Bila kesi huyo jamaa hali.
Kwa hiyo asilipwe kwa kazi yake au?Hiyo ni kazi kama kazi nyingine tumia akili
 
Sijui watu watakimbilia wapi
Tungekua na serikali imara ingefuatilia malalamiko yote yaliyopo kwenye ofisi za TAKUKURU, iwapo huwa yanafanyiwa kazi au kugeuzwa chanzo cha mapato yao binafsi. TAKUKURU Njombe imeoza, inanuka, Waziri mwenye dhamana atoke USINGIZINI sasa.
 
Shida iko huko TAKUKURU bosi, mtu akipeleke malalamiko wanaungana na MHALIFU kupiga hiyo pesa. Mfano ni hapa TAKUKURU Njombe, washenzi hawa wanakula milungula kama hawana akili vile. Haya MAGENGE ya CCM ni vyema katiba mpya ikayafutilia mbali.
Mkuu,

Nakubaliana na wewe kwamba katiba mpya inaweza kuleta mabadiliko mengi ya kimsingi yatakayotufaidisha.

Lakini, huoni kwamba kuna mengi tu ambayo hata kwenye katiba ya sasa yamo, lakini tunayasingizia katiba mpya?

Huoni kwamba tunakosa katiba mpya na utamaduni wa kufuatilia katiba unaotufanya tusisimamie hata yaliyomo katika katiba iliyopo tayari?

Huoni kwamba, kwa mtaji huu, watu watashindwa kuoa mke na kusingizia katiba mpya, wakati suala la kuoa mke limesharuhusiwa hata na katiba ya sasa?

Hii katiba mpya tunaifanya kichaka cha kufichia mapungufu yetu yote sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…