Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Kuna haja ya Kupambana kufanya Biashara, na shughuli nyingine Binfasi; Kweli UNICEF, Mshauri wa Raisi, Mkufunzi wa Chuo akaunti ina 74m ??? Really??? Kama kuna Mtu ambaye ana more than 100M+ ambayo hiyo iko pending tuu...!! hapo hakuna mambo ya kustaafu na anaendelea kukua na kukuza businessAlisema na kuiomba serikali iweze kumrudishia kiasi cha pesa yake kwani ni kiunua mgongo cha utumishi wake wa kazi wa miaka mingi kazi.
Sijakuelewa unachoshangaa na kujiuliza.Kuna haja ya Kupambana kufanya Biashara, na shughuli nyingine Binfasi; Kweli UNICEF, Mshauri wa Raisi, Mkufunzi wa Chuo akaunti ina 74m ??? Really??? Kama kuna Mtu ambaye ana more than 100M+ ambayo hiyo iko pending tuu...!! hapo hakuna mambo ya kustaafu na anaendelea kukua na kukuza business
NoumaDuh hao polisi walimgusa mtu ambaye hawakumjua, Prof huyo lazima atakuwa na connection.
Sasa polisi hao wamembambikia nyara hizo ili wamtemeshe pesa dah.
Ova
Hao maafande wamejichumia laanaHii ni laana aisee.
Aisee.Hukumu imetoka jamaa wamefungwa miaka 20
Safi sana. Polisi na CCM ni watu washenzi sio wa kucheka naoHukumu imetoka jamaa wamefungwa miaka 20
Hao askari walikuwa wazembe sana Prof. alikuwa mshauri wa Rais, pale magogoni palikuwa kama nyumbani kwake bado wakawa na koromeo la kumtisha na kumuomba RUSHWA?Duh hao polisi walimgusa mtu ambaye hawakumjua, Prof huyo lazima atakuwa na connection.
Sasa polisi hao wamembambikia nyara hizo ili wamtemeshe pesa dah.
Ova
Ujue na Sabaya alikuwemoHao askari walikuwa wazembe sana Prof. alikuwa mshauri wa Rais, pale magogoni palikuwa kama nyumbani kwake bado wakawa na koromeo la kumtisha na kumuomba RUSHWA?
Ngoja sasa wapate stahiki yao ya miaka 20 jela kila mmoja π
Ndiyo nashangaa,mbona sabaya hajatajwa na alikuwa pamoja na hao polisi wezi, au naye ana kinga?Ujue na Sabaya alikuwemo
Waligusa sehemu isiyo level yao πHao polisi wameingia siko
Kuna tetesi, wamemtuma mtu
Kumuomba msamaha mzee sasa
Mziki unakuja kuna polis mmja naskia
Kala kona, mzee anataka hela zake zirudi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova