Arusha City in photos and its wildlife

Arusha City in photos and its wildlife

Hayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha

Ndiyo maana Ccm imekita,imezama.......
mistake.jpg

Yaani wamekikataa chama kile na mambo yake yote na hatimaye chama kile kimebaki na ghadhabu na ubabe.
 
Arusha eneo kubwa lina tindiga...nyumba unajenga haimalizi miaka 5 inapasuka mbaya
Wewe umezoea kujenga local. Mwenyeji was singida nin? Maana singida kumejaa mawe hamna haja ya kuchimba msingi wa 1m. Uku protocol za ujenzi lazima uzifuate kwa usalama wa nyumba au jengo lako. Usiishi kwa kukariri, eti matindiga [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
natamani sana kuishi huo mkoa sema kuvamia mikoa ya watu kichwa kichwa unaweza kulia na utu uzima hivi hivi


Hivi Arusha umaarufu wake umebaki ulipo, unapungua au unaongezeka kweli???!!! I am not quite sure...Isipokuwa twenty years from now sina hakika Arusha itakuwaje kwa hakika....siasa, jamani ni mbaya sana....
 
Arusha eneo kubwa lina tindiga...nyumba unajenga haimalizi miaka 5 inapasuka mbaya
Kama unatumia material za kimasikini na mafundi uchwara hapo sawa, ardhi ya njiro ni mbaya sana lakini angali vitu vilivyojengwa, kwa mromboo nako ardhi ni hovyo lakini umeona nyumba za maana ziko za kutosha. Arusha eneo lenye ardhi nzuri ni kama sakina kwenda juu na ukanda wake, mianzini, sanawari, baadhi ya maeneo ya tengeru mpaka usa. Baadhi ya maeneo ya kijenge na majengo. Baadhi ya maeneo ya olasiti na maeneo ya kiwanja cha ndege mpaka ngaramtoni chini kwenye site za agakan mpaka maeneo ya
 
Napenda tu kupatembelea baada ya muda niondoke...
Sipatani na baridi.
 
Back
Top Bottom