Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Acha uongo. Hayo maghorofa wanamiliki wenyeji wa Arusha tena weusi. Acha kujifanya unaijua Arusha kuliko sisiHayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha