Arusha City in photos and its wildlife

Hayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha
Bila shaka umehadithiwa.Wahindi wengi wao Arusha wanaishi kwenye ghorofa za msajili. Maghorofa mengi Arusha ni ya wazawa.Fanya study tour Arusha upate ukweli.
 
Kwataarifa tu, picha namba tatu (aerial view) ni yazamani sana, inaweza kuwa ten years ago, Arusha sasa imebadilika sana. Picha ya arusha airport pia ni miaka mitano iliyopita.
 
Kumbe A town pazuri hivi? Ngoja nifanye mpango wa kuja kutalii huko.
 
Hayo maghorofa uliyoyaweka hapo ni ya wahindi...mwarusha wa kawaida anakaa maeneo ya ovyo ovyo kama majengo.kwa moromboo.matejoo.unga ltd.lemala...barabara hakuna huko...vijinjia vidogo vidogo wanavyonunua kwa wazee wakiarusha
Kwan yele maghorofa ya posta au kariakoo dar kuna wazaramo mule,,,,!!!zaid ya kuwakuta nje ya mji huko ,mbagala ,tandale kwa mkunduje,,,huo ndo mfumo wetu mkuu wa maisha..
 
Arusha pa ukweli sana, shida hamna barabara. Hata zilizopo hazina hadhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…