Arusha: Dereva wa pikipiki aliyekaripiwa kwa kumkosa mtoto apandwa hasira na kuwaita wenzake kuivamia sherehe kwa mapanga

Arusha: Dereva wa pikipiki aliyekaripiwa kwa kumkosa mtoto apandwa hasira na kuwaita wenzake kuivamia sherehe kwa mapanga

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760




taharuki imetoka katika mtaa wa ngusero kata ya osunyai mkoani arusha baada ya vijana zaidi ya tisa wenye mapanga kudaiwa kuvamia sherehe ya ubarikio uliokuwa ukifanyika na kumkata mkono na sikio baba wa mtoto aliyekuwa akifanyiwa ubarikio.

Inadaiwa chanzo cha tukio ni dereva wa pikipiki aliebeba dawa za kulevya aina ya mirungi kuendesha kwa kasi na nusura kumgonga mtoto, baada ya kukaripiwa ndipo alipoenda na kurudi na wenzake
 
View attachment 3173190

taharuki imetoka katika mtaa wa ngusero kata ya osunyai mkoani arusha baada ya vijana zaidi ya tisa wenye mapanga kudaiwa kuvamia sherehe ya ubarikio uliokuwa ukifanyika na kumkata mkono na sikio baba wa mtoto aliyekuwa akifanyiwa ubarikio.

Inadaiwa chanzo cha tukio ni dereva wa pikipiki kuendesha kwa kasi na nusura kumgonga mtoto, baada ya kukaripiwa ndipo alipoenda na kurudi na wenzake
Hapa kuna visa vya ziada
 
Hili kundi lisipodhibitiwa litakuja kuwa hatari. Juzi bodaboda aligonga gari la mtu kwa nyuma na kuanguka. Mwenye gari akashuka na kuzozana na boda, baadaye akamnyang’anya switch.

Boda waliokuwa pembeni wakamzunguka mwenye gari wakitaka kumpiga. Jamaa akaona yaishe, akaingia kwenye gari na kukimbia.

Unafanyiwa kosa na unakoshwa kupigwa. Hawa boda wamedekezwa sana, kisha ni malengo ya kisiasa. Hawana leseni, hawavai helmet, hawasimamishwi na traffic.
 
wameru, wamasai, waarusha. mapanga,sïme,visu hiyoo ni jadi yao ata sio bhangi. Ni kama hiloo tukio lingetokea pwan. Huyoo boda angewaita wenzaķe aje kuwachamba/kuwasuta.
Sio kweli mkuu hao ni masela mavi hakuna jadi wala Nini.
 
Back
Top Bottom