Arusha: Dereva wa pikipiki aliyekaripiwa kwa kumkosa mtoto apandwa hasira na kuwaita wenzake kuivamia sherehe kwa mapanga

Imagine mkoa mzima wanaona huyu ndio mjanja wao unatarajia watu wa aina gani hao?
 

Attachments

  • 20241208_182220.jpg
    81.3 KB · Views: 3
Arusha kizazi kilichoangamia.
Vijana wa kike na kiume wote ni waathirika wa mihadarati!

Sura zimechakaa huwezi kumiamini hata kukuchungia mbuzi!
 
Halafu mnasema eti bangi sio madawa ya kulevya.
pia hao wameru kuna ka tabia fulani wanacho cha ushamba

nilipata stori yao kidogo kua wanazaliana wao kwa wao kwa wingi nafikiri shida ndio inaanzia hapo
 
Ni leo tu Makonda alikuwa na shughuli maalumu ya maombi kuuombea mkoa wake!
 
Halafu mnasema eti bangi sio madawa ya kulevya.
Kwani wakaazi wote wa arusha ni wavuta bangi?

Vipi kuhusu matukio yanayotokea maeneo mengine? (Mwanza, guitar, mbeya, dar, moro)

Nayo unayahusisha na bangi?

Bangi ni bangi, na tabia ya mtu ni tabia sema ndio hivyo mazoea ya miafrika, mtu akizingua utasikia bangi hizo, kumbe maskini unaeza kukuta tatizo ni afya ya akili.
 
Nchi hii uhuru umepitiliza,kila mtu anajiongoza kivyake vyake
Hamna viongozi. Hapo Moshi, mrungi na mkokaa unatoka mpakani huko holili unapita himo, njia panda, pumwani mpaka majengo au njoro na pasua na hamna askari anathubutu kusogelea. Unakuta pikipiki Ina gunia hata mbili na Ina escort ya pikipiki hata sita au nne... Mbele zinatungulia kusafisha njia na nyuma zinalinda. Unajiuliza viongozi wakwapi???
 
kanda ya ziwa nao ni wavutaji wa bangi na gongo kwa wingi japo wao wengi hutoka na kutawanyika maeneo mengine hii inasaidia..shida ni hawa wameru wanajazana haohapo ujingaujinga mwingi
 
Bangi haivutwi wapi hapa Tanzania?

Maana mpaka ikulu naamini bangi ilishawahi kuwaka.

Haya sema mkoa gani hawavuti kisha tuangalie rekodi.
wameru wanavuta bangi kisha wanajazana hapohapo arusha kwa wingi wanajazana ujinga sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…