Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Tatfta hela uache kulia lia
KESHO DAKTARI ATAFANYA HIVYO,
MWALIMU.................................
ASKARI .......................................
HAKIMU ......................................
NK NK.......................................
UNAJUA SIO KILA KITU NI CHA KUCHANGIA, WAKATI MWINGINE SOMA TU MICHANGO YA WENZIO.
 
KESHO DAKTARI ATAFANYA HIVYO,
MWALIMU.................................
ASKARI .......................................
HAKIMU ......................................
NK NK.......................................
UNAJUA SIO KILA KITU NI CHA KUCHANGIA, WAKATI MWINGINE SOMA TU MICHANGO YA WENZIO.
Wewe ni dereva?
Hapo kosa la dereva lilikuwa ninini?
Hebu tujulishe.

Hutaki apumzike kwenye safari ndefu sio.?

Nenda kaendeshe wewe masaa 16 bila kupumzika wala kubadilishana na dereva mwingine.

Acheni taaluma za watu zifanye kazi.

Bar ni taasisi halali katika jamii yetu, na ni sehemu ya usalama kwa wageni.
Ina vyakula na vinywaji vya aina mbali mbali ili kuwafurahisha wateja wake.

Wewe ulitaka apumzike wapi ?
Bafuni sio?
Na asile wala kunywa ili naye afe.
 
Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh
Lofa mwingine huyu hapa...
 
Sisi tutajua kama kweli ni bar hapo !!??

Hata kama ni baa, huko ndani ya jeneza muhusika yumo tayari ndani????

Sisi tutakuamini vp, je labda unavisa na dereva wa gari ONESHWA hapo juu???

: MKAZANE MAISHA MAGUMU [emoji38]
Sisi na nani?? Hujiamini kujisemea wewe mwenyewe mpaka uweke uwingi wa sisi???
 
Wewe ni dereva?
Hapo kosa la dereva lilikuwa ninini?
Hebu tujulishe.

Hutaki apumzike kwenye safari ndefu sio.?

Nenda kaendeshe wewe masaa 16 bila kupumzika wala kubadilishana na dereva mwingine.

Acheni taaluma za watu zifanye kazi.

Bar ni taasisi halali katika jamii yetu, na ni sehemu ya usalama kwa wageni.
Ina vyakula na vinywaji vya aina mbali mbali ili kuwafurahisha wateja wake.

Wewe ulitaka apumzike wapi ?
Bafuni sio?
Na asile wala kunywa ili naye afe.
"Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. "
 
Msameheni Ila hiyo tabia ya mtu anayekunywa maji sio rahisi kuitibu
 
Kwani akiwa mama kitu gani?
Tunapenda sana kukuza mambo.
Ni misiba mingapi watu tunapaki mahotelini na mabar tunakunywa mpaka pakuchwe na tunaelekea majumbani? Siwapendi watanzania wenzangu kwa unafiki na uchonganishi. Hapo njia panda ile bar ya did watu wanapanda mpaka juu ha meza na misiba yao wanacheza mziki. Kwahiyo kisa imaskini wao ndo utumike kumkaanga jamaa? Akishafukuzwa kazi ndo marehemu atafufuka? Hao wamama wanaoangua kilio wako wapi? Jamaa akiangalia EPL yuko wapi? Na wanaelekea wilayani sehemu gani? Na hao waliotoa gari kwanini waliwapa ya wazi na vumbi lote hilo? Je mvua ingenyesha je?

Mambo mengine tujifunze kuwa positive tu. What if lilikua litokee jambo baya hapo endapo wangeondoka?
Siupendi umaskini na maskini wenyewe. Tuna roho mbaya sana.
After all kama ni kufiwa na hawakua wakimudu kwanini hawakuzikia sehemu aliyofia?
Una hoja ya msingi na nna hisi huu mwili unaweza kuwa ni wa Ile kada yenye ugomvi na Mpwayungu village
 
Mkuu sehemu nyingne marehemu huwa apelekwi kwao ucku , kama hvyo pia walikuw wanavuta muda au walikuw wamekubalian itakuw umemchafua dereva/mkuu WA msafara

Nenda njia pand njia inayoelekea rombo marehemu wengi ukesha pale. Na kupelekwa kwao asubuhi

Nimetok juz kupelek mwil wa Bibi yangu tumekesha baaa Hadi asubuhi na marehemu wengne walikuj apo

Costa 4 zikiw na marehemu na ndugu wa marehemu tukiw bara hyo inayofany kaz 24hrs asubuhi safr ikaendelea

Polen kwa uandish m-baya
Kwa hiyo,mlikuwa na wanafamilia,marehemu wengine wakaja na wenyewe! Hii kali sasa
 
Ungechukua video kabisa isambae kwenye magroup ingemfikia Muheshimiwa Rais
 
Na Malisa GJ

Habari kaka.

Kuna tukio limetokea hapa Arusha usiku huu limenisikitisha sana. Kuna Familia imepata msiba, wanatakiwa kusafirisha kwenda wilayani kuzika lakini hawana uwezo. Hivyo wameomba msaada wa gari ya serikali kusafirisha maiti. Gari hiyo imebeba maiti na ndugu wachache wa marehemu.

Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.

Binadamu wote wana haki ya kulindiwa utu wao. Umaskini usiwe sababu ya kudhalilisha wengine. Huyu dereva angekua amefiwa na baba yake mzazi, angediriki kwenda kumuanika bar halafu aangalie mpira? Namba za gari ni STM 3708. Tunaomba serikali ichukue hatua kali kwa dereva na wote waliohusika. Huu ni udhalilishaji mkubwa wa utu.


View attachment 2788969View attachment 2788971
Unachotaka kumaan isha kwa umma sio kweli. Watu wanaposafirisha misiba kuna wakati wanahitaji huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na chakula. kupiumzika sometime na hata kupoteza mawazo ili waendelee na safari muda muafaka. hakuna watu wanasafirisha maiti njiani halafu wanalia safarini. sio kweli
 
Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh
Siyo vizuri tuashum ungekuwa wewe amekufa mwanao.
Ungekubari driver akusubirishe hapo nje na maiti ya mwanao?
 
Jambo hili wangelalamika wafiwa, na sio mpitanjia anayepiga picha gari na jeneza na kurusha humu.

Kwa sisi tunaosafiri mala kwa mala Bar ndio sehemu salama ya kupumzika na kupata chakula safi kwa wageni

Hata mabasi ya mikoani huwa yanawapumzisha wasafiri Bar zilizoborehwa ili wapumzike na kupata chakula na vinywaji.

Bar ndio sehemu salama kabisa ya kupumzika wasafiri wageni.
Pia kumbukeni bar ni ofisi halari na inalipa kodi.

Si vema kuandika Mada zenye lengo la kuwaharibia watu kazi.
 
Je sio kwamba walisimama njian kutafuta chakula? Habar yako
 
Back
Top Bottom