Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Then kaifuta hiyo post
Bado kwangu ipo. Anaifutaje post wakati kesha zua tafrani na Ofisi yenye dhamana juu ya gari hilo STM 2708 na dereva wake?
Sijaelewa i.e. Kai-Delete au kaandika post ya kufuta au kaomba radhi ili Mods waiondoe?
Kama imekuwa hivo, basi Malisa ndg. yangu; next time uwe mwangalifu au uwe makini. Wadau humu huchambua sana.
 
Ila huyu mlevi ana roho mbaya sana, yaani anadiriki kuwashusha watu wenye hali ya majonzi ili tu akale ulabu!!!

Kuna wakati binadamu anakuwa mbaya kuliko hayawani.
 
Mkuu sehemu nyingne marehemu huwa apelekwi kwao ucku , kama hvyo pia walikuw wanavuta muda au walikuw wamekubalian itakuw umemchafua dereva/mkuu WA msafara

Nenda njia pand njia inayoelekea rombo marehemu wengi ukesha pale. Na kupelekwa kwao asubuhi

Nimetok juz kupelek mwil wa Bibi yangu tumekesha baaa Hadi asubuhi na marehemu wengne walikuj apo

Costa 4 zikiw na marehemu na ndugu wa marehemu tukiw bara hyo inayofany kaz 24hrs asubuhi safr ikaendelea

Polen kwa uandish m-baya
 
Mkuu sehemu nyingne marehemu huwa apelekwi kwao ucku , kama hvyo pia walikuw wanavuta muda au walikuw wamekubalian itakuw umemchafua dereva/mkuu WA msafara

Nenda njia pand njia inayoelekea rombo marehemu wengi ukesha pale. Na kupelekwa kwao asubuhi
Ni kweli kbsa na wanalala njian maana zamani watu walikuwa wanajinyonga sana maiti zikingia usiku
 
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassani popote ulipo naomba nakuomba sana Mh Rais tafafakli Kiti unacho kikalia dhidi ya mwenendo wa watumishi wenzako.

Hakika watumishi walioko chini yako nidhamu imeshuka sanaaaa.

Kitendo cha dereva wa serikali aliyepewa jukumu la kubeba mwili wa Marehemu kuamua kufika sehemu kuwashusha ndugu wa marehemu na kuamua kupaki gari pembezeni mwa bar na kuanza kunywa pombe ni tusi kubwa kwa wafiwa lakini pia kwa watanzania.

Haya magari mnayotembelea Mh rais na watumishi wenzako ni mali yetu sisi watanzania.

Mh rais ili tukio enzi za mh Rais mwendazake.lisingekaa litokeee

Haya limetokea ukitaka kujua yakuwa watumishi wetu wote hamna adabu haiwezekani hakuna mamlaka iliyotoa kauli ya kulaani tukio ili ni kuwa mmefurahia?
 
Tusipende kuweka hitimisho sana bila kusikiliza upande wa pili,kwanza bar haijatajwa, inamaana mtu hawezi kupaki hata dk 20 kupata hata chakula kama anaona ni safari ndefu? Na mara nyingi Bongo bar ndiyo na chakula kinapatikana, tuache roho mbaya na kutaka kumuharibia Kazi dereva........ juzi tumetoka kuzika Moshi nimeapa sirudi tena na hawa jamaa njia nzima ni ulevi tu na kwenye gari pombe zimejaa kila sehemu wakiona bar mnasimama na tulikuwa na mwili kwenye gari,mwambieni Malisa aanze kuwaelimisha ndugu zake kwanza.....mpaka wakati tunarudi nikawaacha Msata nikaona miyeyusho
 
Ila huyu mlevi ana roho mbaya sana, yaani anadiriki kuwashusha watu wenye hali ya majonzi ili tu akale ulabu!!!

Kuna wakati binadamu anakuwa mbaya kuliko hayawani.
Mkuu, sijawahi ona watu wanali wakiwa safarini na msiba. Huwa kuna maeneo nyeti watu hulia kama wamuinapo marehemu, wakiwa wanaaga ama ile wanaingia nyumbani na marehemu. Kwenye magari watu wanKulaga gambe tu.
 
Kuna raia zimepinda aisee dah!

Hii nguruwe ni ya kufukuza kazi straight away yaani na hakika tunahitaji sana adhabu ya viboko irudi kwenye jamii
Hana kazi huyu atafute kazi nyingine🤣🤣🤣🤣🤣💺
 
.. hovyo kbs! kwahiyo akapumzike bar na maiti huku wafiwa wakiwa nje wanalia unaona imekaa sawa? shuwaini kabisa ww!
Wewe ulitaka akapumzike wapi na kwanini?
Kwani Bar ni Motoni?

Au ulitaka akapumzike Gest House...!
Huko Bar kwani kuna Ugonjwa gani wa kuambukizwa?
 
Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh
Nadhani dereva alikuwa na njaa amekuta kuna game anaangalia wakati ansubiri chakula
 
Sisi tutajua kama kweli ni bar hapo !!??

Hata kama ni baa, huko ndani ya jeneza muhusika yumo tayari ndani????

Sisi tutakuamini vp, je labda unavisa na dereva wa gari ONESHWA hapo juu???

: MKAZANE MAISHA MAGUMU 😆
Na kweli habari hii haijitoshelezi.Wako wapi hao kina mama wenye kulia?Walishushwa baa wakakubali?There is something which is not adding up.Lete habari hii kwa ukamilifu ili kama kosa limefanyika watu waweze ku judge.
 
Mbona kwa wachagga hiyo kawaida tu . Pale mwika ndio kituo baar za pale zinajaa sana kwenye kupokea maiti
 
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassani popote ulipo naomba nakuomba sana Mh Rais tafafakli Kiti unacho kikalia dhidi ya mwenendo wa watumishi wenzako.

Hakika watumishi walioko chini yako nidhamu imeshuka sanaaaa.

Kitendo cha dereva wa serikali aliyepewa jukumu la kubeba mwili wa Marehemu kuamua kufika sehemu kuwashusha ndugu wa marehemu na kuamua kupaki gari pembezeni mwa bar na kuanza kunywa pombe ni tusi kubwa kwa wafiwa lakini pia kwa watanzania.

Haya magari mnayotembelea Mh rais na watumishi wenzako ni mali yetu sisi watanzania.

Mh rais ili tukio enzi za mh Rais mwendazake.lisingekaa litokeee

Haya limetokea ukitaka kujua yakuwa watumishi wetu wote hamna adabu haiwezekani hakuna mamlaka iliyotoa kauli ya kulaani tukio ili ni kuwa mmefurahia?
Hizi ni kauli za jazba tu, marehemu amefika salama kwa na amesha zikwa salama.
Unatakiwa kumpongeza dereva kwa mwendo salama.

Au ulitaka hata asinywe maji na kupumzika mahali salama?

Ulitaka akapaki gari kituo cha polisi sio?
Au kwa Mkuu wa Gereza.
Huku akilia na machozi tele.

Acheni taaluma za watu zifanye kazi.
 
Back
Top Bottom