Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani huo unaweza kuwa unatoa walau mwanga fulani katika kuupata ukweli wa tukio hilo.Yes, nami nahisi hivyo hivyo. Walipaki sehemu kupata huduma fulani kisha safari iendelee.
Hii taarifa ina harufu ya majungu na unaa dhidi ya dereva husika.
"Dereva alipaki Sakina Bar, akawashusha waombolezaji, yeye akaingia Bar kunywa na kucheki mechi ya EPL" ...
halafu eti ushahidi wa shutuma hii ni hizo picha mbili !!!
Kwa picha hizo, nani aweza thibitisha hapo ni Sakina Bar?
-Kaveli-
Wavuta bangi ni wastaarabu sana mkome kuisingizia bangi kwenye mambo ya ajabuajabu.Khaa?
Huyu dereva atakuwa anavuta bangi.
Na hao wenye bar walimruhusu vipi kupaki gari lenye maiti.
Maswali ya kishetani na ya kuzimu..hapo unajiona na wewe una akili..subiri yakukuteSisi tutajua kama kweli ni bar hapo !!??
Hata kama ni baa, huko ndani ya jeneza muhusika yumo tayari ndani????
Sisi tutakuamini vp, je labda unavisa na dereva wa gari ONESHWA hapo juu???
: MKAZANE MAISHA MAGUMU 😆
si ndio maana nasema malisa mnafki njia panda ya moshi pale hajawai kukaa na maiti bar. akipata supu na vinywaji kusubiri papambazuke.Maeneo ya njia panda Himo, kukuta gari za maiti zimepark watu wanakula/kumwagilia moyo baada ya safari ndefu kutoka Dar kuja Kaskazini ni kawaida.
Inawezekana wahusika walipita hapo sakina Bar kupata chochote kitu ili waendelee na safari
Mleta mada: hiyo maiti ilitokea wapi na inapelekwa wapi?
Hii inaweza saidia kujua kweli dereva alipaki hapo kwa lengo baya au nzuri
Huwa naona wana-park na kulala kwa kuegemea usukani au kulegeza kiti chake kwenye gari kama hana msaidizi. Bado ninahisi kama ni tukio la kweli, basi dereva kwa makubaliano na wahusika wote walikwenda kupata huduma muhimu na baadaye safari iendelee.Labda alikuwa anaondoa uchovu....dereva ukihisi uchovu/usingizi Park gari nenda kalale/kapumzike ukiwa fredh safar iendelee..Acha umbea mkuu
Je wafiwa aliwatelekeza wapi au alikuwa nao bar?Na Malisa GJ
Habari kaka.
Kuna tukio limetokea hapa Arusha usiku huu limenisikitisha sana. Kuna Familia imepata msiba, wanatakiwa kusafirisha kwenda wilayani kuzika lakini hawana uwezo. Hivyo wameomba msaada wa gari ya serikali kusafirisha maiti. Gari hiyo imebeba maiti na ndugu wachache wa marehemu.
Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.
Binadamu wote wana haki ya kulindiwa utu wao. Umaskini usiwe sababu ya kudhalilisha wengine. Huyu dereva angekua amefiwa na baba yake mzazi, angediriki kwenda kumuanika bar halafu aangalie mpira? Namba za gari ni STM 3708. Tunaomba serikali ichukue hatua kali kwa dereva na wote waliohusika. Huu ni udhalilishaji mkubwa wa utu.
View attachment 2788969View attachment 2788971
Huyo jamaa ni mwongo, sijui alitaka aungane nao kuliaHuwa naona wana-park na kulala kwa kuegemea usukani au kulegeza kiti chake kwenye gari kama hana msaidizi. Bado ninahisi kama ni tukio la kweli, basi dereva kwa makubaliano na wahusika wote walikwenda kupata huduma muhimu na baadaye safari iendelee.
Ni kwa nini Mtoa taarifa anatumia neno "Bar" ilhali zipo hoteli nyingi kando ya barabara zina huduma ya chakula pia?
Nakubaliana na ww huo unaweza kuwa ni uchonganishi au umbea kwani angeonesha basi walau picha ya dereva akiwa kwenye ukumbi akiangalia mpira kuthibitisha hoja yake.
Hapana mkuu. Ni maswali ya msingi sana hayo ukizingatia kwamba baadhi ya watu wana mizengwe sana na hapo inawezekana hata pia picha hizo zikawa ni "edited" aka photoshopping. Tutajuaje kama jamaa amehitilafiana na dereva katika kitu kingine tofauti lakini kwa lengo la kumkomoa mtoa Taarifa anatumia picha hiyo?? au mtoa taarifa amenunuliwa?Maswali ya kishetani na ya kuzimu..hapo unajiona na wewe una akili..subiri yakukute
Hela,zinahusika nini na tabia za ovyo za uyu jamaa acha ujuaji kijanga mjingaTatfta hela uache kulia lia
Kwani akiwa mama kitu gani?
Tunapenda sana kukuza mambo.
Ni misiba mingapi watu tunapaki mahotelini na mabar tunakunywa mpaka pakuchwe na tunaelekea majumbani? Siwapendi watanzania wenzangu kwa unafiki na uchonganishi. Hapo njia panda ile bar ya did watu wanapanda mpaka juu ha meza na misiba yao wanacheza mziki. Kwahiyo kisa imaskini wao ndo utumike kumkaanga jamaa? Akishafukuzwa kazi ndo marehemu atafufuka? Hao wamama wanaoangua kilio wako wapi? Jamaa akiangalia EPL yuko wapi? Na wanaelekea wilayani sehemu gani? Na hao waliotoa gari kwanini waliwapa ya wazi na vumbi lote hilo? Je mvua ingenyesha je?
Mambo mengine tujifunze kuwa positive tu. What if lilikua litokee jambo baya hapo endapo wangeondoka?
Siupendi umaskini na maskini wenyewe. Tuna roho mbaya sana.
After all kama ni kufiwa na hawakua wakimudu kwanini hawakuzikia sehemu aliyofia?
Nakazia akapimwe akili na mkojoKhaa?
Huyu dereva atakuwa anavuta bangi.
Na hao wenye bar walimruhusu vipi kupaki gari lenye maiti.
Lakini hata ninyi wanaume wa Arusha mnastahili lawama, mlishindwaje kumuonya au kumvutia nje na kumlamba bakora?Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.
Hawajatelekezwa mkuu. Inaonekana wazi kwamba aliingia nao humo ndani kwani hapa nje hawaonekani/hawapo ila yupo mtu mmoja anaongea na simu na pengine habari za maiti/marehemu hazimhusu.Je wafiwa aliwatelekeza wapi au alikuwa nao bar?
SadHawajatelekezwa mkuu. Inaonekana wazi kwamba aliingia nao humo ndani kwani hapa nje hawaonekani/hawapo ila yupo mtu mmoja anaongea na simu na pengine habari za maiti/marehemu hazimhusu.
Hagaaaaahaa kawaidaaSema chuga bhangiii nyingiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unaweza kutaaa alienda kugongaaa pisii kabisaaa.
Kwani imethibitika ni mvutaji wa bangi? Hivi kumbe wavuta bangi huwa wanatakiwa wakapimwe akili na mkojo!!!.Nakazia akapimwe akili na mkojo