Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

We chizi kweli angekuwa mama ako mzazi amekufa then akaanikwe vile kwenye Dabo kebin we ungejisikiaje?
Kwani akiwa mama kitu gani?
Tunapenda sana kukuza mambo.
Ni misiba mingapi watu tunapaki mahotelini na mabar tunakunywa mpaka pakuchwe na tunaelekea majumbani? Siwapendi watanzania wenzangu kwa unafiki na uchonganishi. Hapo njia panda ile bar ya did watu wanapanda mpaka juu ha meza na misiba yao wanacheza mziki. Kwahiyo kisa imaskini wao ndo utumike kumkaanga jamaa? Akishafukuzwa kazi ndo marehemu atafufuka? Hao wamama wanaoangua kilio wako wapi? Jamaa akiangalia EPL yuko wapi? Na wanaelekea wilayani sehemu gani? Na hao waliotoa gari kwanini waliwapa ya wazi na vumbi lote hilo? Je mvua ingenyesha je?

Mambo mengine tujifunze kuwa positive tu. What if lilikua litokee jambo baya hapo endapo wangeondoka?
Siupendi umaskini na maskini wenyewe. Tuna roho mbaya sana.
After all kama ni kufiwa na hawakua wakimudu kwanini hawakuzikia sehemu aliyofia?
 
Kwani akiwa mama kitu gani?
Tunapenda sana kukuza mambo.
Ni misiba mingapi watu tunapaki mahotelini na mabar tunakunywa mpaka pakuchwe na tunaelekea majumbani? Siwapendi watanzania wenzangu kwa unafiki na uchonganishi. Hapo njia panda ile bar ya did watu wanapanda mpaka juu ha meza na misiba yao wanacheza mziki. Kwahiyo kisa imaskini wao ndo utumike kumkaanga jamaa? Akishafukuzwa kazi ndo marehemu atafufuka? Hao wamama wanaoangua kilio wako wapi? Jamaa akiangalia EPL yuko wapi? Na wanaelekea wilayani sehemu gani? Na hao waliotoa gari kwanini waliwapa ya wazi na vumbi lote hilo? Je mvua ingenyesha je?

Mambo mengine tujifunze kuwa positive tu. What if lilikua litokee jambo baya hapo endapo wangeondoka?
Siupendi umaskini na maskini wenyewe. Tuna roho mbaya sana.
After all kama ni kufiwa na hawakua wakimudu kwanini hawakuzikia sehemu aliyofia?
Hapa wewe ndio umekuwa positive?
 
Maeneo ya njia panda Himo, kukuta gari za maiti zimepark watu wanakula/kumwagilia moyo baada ya safari ndefu kutoka Dar kuja Kaskazini ni kawaida.

Inawezekana wahusika walipita hapo sakina Bar kupata chochote kitu ili waendelee na safari

Mleta mada: hiyo maiti ilitokea wapi na inapelekwa wapi?

Hii inaweza saidia kujua kweli dereva alipaki hapo kwa lengo baya au nzuri
Angalau wewe uko positive. Unakutaga ni vile vipita njia tu saa zingine kutafuta content tu. Hapo did tulikua 3 weeks ago, aisee watu wanapanda mpaka juu ya meza na chupa za pombe vichwani. Naona ni kukuza na kutaka kuleta taharuki. Hapo njia panda ni shulw tosha tu. Naona mihemko inatumika na umaskini kama fimbo
 
Akifa mama yako ufanye hivyo, haina shida mbona.
Hongera mkuu naona mambo yamekuwa sasa hatimaye.

Turudi kwenye mada, huyu dereva kabla ya kufukuzwa kazi apewe na zile adhabu za Nyerere, viboko 12 wakati anakabidhi gari, viboko 12 wakati anaondoka. Stupid kabisa
 

Bila kurudisha viboko kama adhabu kwenye jamii yetu hatuwezi fika popote.

Kuna watu haijalishi ni wakubwa au watoto, kuna watu ni wa viboko tu, tandika mtu bakora hadharani mpaka achanganyikiwe.
 
Kiukweli pale Did bar njia panda nilipata mawazo sana
Watu wanaimba wako juu ya meza boraaa niinjoyyyy maisha mafupi nduguuu na chupa za pombe juu... hapo kuna vikapu vinne vyote ni ndugu lkn unafanyaje sasa.. yaan kuna mambo asilani abadani hutakiwi kujiumiza ama kujipa mzigo
Jambo ambalo kwako ni huzuni kwa mwenzako ni anaona kawaida tu. Ni labda kuna mtu ameumizwa kwa kujeruhiwa mwilini etc. Nilitamani kuoma vilio vya hao wamama
Tunapemdaga sana kukuza
 
Kwahapa mmezidi

Yambieni halmashauri zenu zitengeneze parking za magari yaliyobeba maiti na pawe na huduma zote

Hiyo maiti haiozi ndani ya siku 14 ,kelele zann Sasa
 
Na Malisa GJ

Habari kaka.

Kuna tukio limetokea hapa Arusha usiku huu limenisikitisha sana. Kuna Familia imepata msiba, wanatakiwa kusafirisha kwenda wilayani kuzika lakini hawana uwezo. Hivyo wameomba msaada wa gari ya serikali kusafirisha maiti. Gari hiyo imebeba maiti na ndugu wachache wa marehemu.

Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.

Binadamu wote wana haki ya kulindiwa utu wao. Umaskini usiwe sababu ya kudhalilisha wengine. Huyu dereva angekua amefiwa na baba yake mzazi, angediriki kwenda kumuanika bar halafu aangalie mpira? Namba za gari ni STM 3708. Tunaomba serikali ichukue hatua kali kwa dereva na wote waliohusika. Huu ni udhalilishaji mkubwa wa utu.


View attachment 2788965View attachment 2788969View attachment 2788971
Tupe proof kuwa ni bar mkuu tuanze kuchangia hoja vinginevyo majungu
 
ila miaka ya hivi karibuni, kumezuka wimbi la madereva wa serikalini kujichukulia kuwa sawa na mabosi na mabosi kutafuta umaarufu kwa madereva. yaani mabosi wameacha kusimamia taratibu kwa kutafuta umaarufu kwa madereva. hii imefanya madereva wa serikalini kujiamini kupita kiasi na kuwa na dharau
 
Kwahapa mmezidi

Yambieni halmashauri zenu zitengeneze parking za magari yaliyobeba maiti na pawe na huduma zote

Hiyo maiti haiozi ndani ya siku 14 ,kelele zann Sasa
Mnajifanya wazunguuuuuuuuu kuliko hata wazungu wenyewe
 
Na Malisa GJ

Habari kaka.

Kuna tukio limetokea hapa Arusha usiku huu limenisikitisha sana. Kuna Familia imepata msiba, wanatakiwa kusafirisha kwenda wilayani kuzika lakini hawana uwezo. Hivyo wameomba msaada wa gari ya serikali kusafirisha maiti. Gari hiyo imebeba maiti na ndugu wachache wa marehemu.

Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.

Binadamu wote wana haki ya kulindiwa utu wao. Umaskini usiwe sababu ya kudhalilisha wengine. Huyu dereva angekua amefiwa na baba yake mzazi, angediriki kwenda kumuanika bar halafu aangalie mpira? Namba za gari ni STM 3708. Tunaomba serikali ichukue hatua kali kwa dereva na wote waliohusika. Huu ni udhalilishaji mkubwa wa utu.


View attachment 2788965View attachment 2788969View attachment 2788971
Umefanya jambo njema sna mkuu, wahuni km hao ni wakuadabishwa. Yan huyo dereva hana ubinaadamu wwte ndan ya nafc yke mmbwa huyo
 

Bila kurudisha viboko kama adhabu kwenye jamii yetu hatuwezi fika popote.

Kuna watu haijalishi ni wakubwa au watoto, kuna watu ni wa viboko tu, tandika mtu bakora hadharani mpaka achanganyikiwe.
Yap! Kama Sheria inasema hivyo na Kosa limethibitika pasi na mashaka yoyote.
Maisha yenyewe ndo haya-haya; leo tunaondoa adhabu ya viboko kuanzia shule ya msingi hadi kwa vibaka n.k. tena tunazinadi kwa bashasha Sera za Haki za binadamu bila kuzichuja halafu matokeo yake (mavuno)yanapojitokeza tunaanza kulialia hapa. Tutafika lakini tutakuwa tumechoka sana.
NB: Mm Siungi mkono kitendo cha dereva mhusika (kama tukio hilo ni la kweli) lakini Taarifa hiyo imeacha mno maswali na hoja nyingi sana na nadhani inaweza kuwa ni chai. Je, Box la kubebea maiti aka jeneza, lina kitu humo ndani? Hapo yaweza kuwa 90% ni kabla ya mwili kuwekwa ndani ya box kwa sababu si dereva wala wahusika hawaonekani.
Zingatia pia kupiga picha bila ridhaa ya mhusika ni kosa.
 
Back
Top Bottom