KESHO DAKTARI ATAFANYA HIVYO,Tatfta hela uache kulia lia
Wewe ni dereva?KESHO DAKTARI ATAFANYA HIVYO,
MWALIMU.................................
ASKARI .......................................
HAKIMU ......................................
NK NK.......................................
UNAJUA SIO KILA KITU NI CHA KUCHANGIA, WAKATI MWINGINE SOMA TU MICHANGO YA WENZIO.
Acha kukariri, hivi kuna mtu hatafuti pesa ili kujenga maisha yake? Kuna ambaye amekuomba hata vocha? Acha ukasuku jombaaaTatfta hela uache kulia lia
Lofa mwingine huyu hapa...Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh
Sisi na nani?? Hujiamini kujisemea wewe mwenyewe mpaka uweke uwingi wa sisi???Sisi tutajua kama kweli ni bar hapo !!??
Hata kama ni baa, huko ndani ya jeneza muhusika yumo tayari ndani????
Sisi tutakuamini vp, je labda unavisa na dereva wa gari ONESHWA hapo juu???
: MKAZANE MAISHA MAGUMU [emoji38]
"Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. "Wewe ni dereva?
Hapo kosa la dereva lilikuwa ninini?
Hebu tujulishe.
Hutaki apumzike kwenye safari ndefu sio.?
Nenda kaendeshe wewe masaa 16 bila kupumzika wala kubadilishana na dereva mwingine.
Acheni taaluma za watu zifanye kazi.
Bar ni taasisi halali katika jamii yetu, na ni sehemu ya usalama kwa wageni.
Ina vyakula na vinywaji vya aina mbali mbali ili kuwafurahisha wateja wake.
Wewe ulitaka apumzike wapi ?
Bafuni sio?
Na asile wala kunywa ili naye afe.
Una hoja ya msingi na nna hisi huu mwili unaweza kuwa ni wa Ile kada yenye ugomvi na Mpwayungu villageKwani akiwa mama kitu gani?
Tunapenda sana kukuza mambo.
Ni misiba mingapi watu tunapaki mahotelini na mabar tunakunywa mpaka pakuchwe na tunaelekea majumbani? Siwapendi watanzania wenzangu kwa unafiki na uchonganishi. Hapo njia panda ile bar ya did watu wanapanda mpaka juu ha meza na misiba yao wanacheza mziki. Kwahiyo kisa imaskini wao ndo utumike kumkaanga jamaa? Akishafukuzwa kazi ndo marehemu atafufuka? Hao wamama wanaoangua kilio wako wapi? Jamaa akiangalia EPL yuko wapi? Na wanaelekea wilayani sehemu gani? Na hao waliotoa gari kwanini waliwapa ya wazi na vumbi lote hilo? Je mvua ingenyesha je?
Mambo mengine tujifunze kuwa positive tu. What if lilikua litokee jambo baya hapo endapo wangeondoka?
Siupendi umaskini na maskini wenyewe. Tuna roho mbaya sana.
After all kama ni kufiwa na hawakua wakimudu kwanini hawakuzikia sehemu aliyofia?
Kwa hiyo,mlikuwa na wanafamilia,marehemu wengine wakaja na wenyewe! Hii kali sasaMkuu sehemu nyingne marehemu huwa apelekwi kwao ucku , kama hvyo pia walikuw wanavuta muda au walikuw wamekubalian itakuw umemchafua dereva/mkuu WA msafara
Nenda njia pand njia inayoelekea rombo marehemu wengi ukesha pale. Na kupelekwa kwao asubuhi
Nimetok juz kupelek mwil wa Bibi yangu tumekesha baaa Hadi asubuhi na marehemu wengne walikuj apo
Costa 4 zikiw na marehemu na ndugu wa marehemu tukiw bara hyo inayofany kaz 24hrs asubuhi safr ikaendelea
Polen kwa uandish m-baya
Angekua mamaako kafa dereva apeleke maiti bar!! Vipi!?? Au unaropoka kwakuwa unakalia kigogo!?Tatfta hela uache kulia lia
GwajimaNgoja tumshitue waziri @ Dkt Gwajima
π π π jamaa anakuchafulia jina.Nguruwe mwenyewe!
Unachotaka kumaan isha kwa umma sio kweli. Watu wanaposafirisha misiba kuna wakati wanahitaji huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na chakula. kupiumzika sometime na hata kupoteza mawazo ili waendelee na safari muda muafaka. hakuna watu wanasafirisha maiti njiani halafu wanalia safarini. sio kweliNa Malisa GJ
Habari kaka.
Kuna tukio limetokea hapa Arusha usiku huu limenisikitisha sana. Kuna Familia imepata msiba, wanatakiwa kusafirisha kwenda wilayani kuzika lakini hawana uwezo. Hivyo wameomba msaada wa gari ya serikali kusafirisha maiti. Gari hiyo imebeba maiti na ndugu wachache wa marehemu.
Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia, jamaa yuko ndani anakunywa na kuangalia game. Hakika umaskini ni mbaya sana. Naomba upaze sauti ili serikali iweze kuchukua hatua kwa kitendo hiki cha kinyama na kisicho cha utu.
Binadamu wote wana haki ya kulindiwa utu wao. Umaskini usiwe sababu ya kudhalilisha wengine. Huyu dereva angekua amefiwa na baba yake mzazi, angediriki kwenda kumuanika bar halafu aangalie mpira? Namba za gari ni STM 3708. Tunaomba serikali ichukue hatua kali kwa dereva na wote waliohusika. Huu ni udhalilishaji mkubwa wa utu.
View attachment 2788969View attachment 2788971
Siyo vizuri tuashum ungekuwa wewe amekufa mwanao.Asa jaman mtu si amekufa huyo , ukweli ni kuwa mazishi yasingefanyika usku , jamaa kaona hii sa moja na nusu achek game mana atafika tuu mda mwafaka , imekuwa nongwa duuh