Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

Hii story imekaa kichochezi sana yaani nimesafiri misiba kadhaa mnasafiri wee mkifka mahali mna pose kidogo kunyoosha miguu Wa kunywa anakunywa Wa kula anakula then mnaendelea na safari au hii aipo hivyo
 
uzi umekaa kichochezi sana huu, unataka kuniambia wale wanaosafirisha maiti wanaojazana pale korogwe na mombo kwenye hoteki kula wanafanya makosa? hao kina mama wanaolia wako wapi, nani alisema watu waliokuwa wanasafiri hawana uwezo walipewa gari bure? kuna mambo mengi sana hapa ya kujiuliza.
 
Mi ndio huyo dereva nilienda kula mlitaka nile harakaharaka nipaliwe? Au wakati na kula ni kosa kuangakia kinachoendelea kwenye luninga.siku nyingine siwapi lifti

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Kuna raia zimepinda aisee dah!

Hii nguruwe ni ya kufukuza kazi straight away yaani na hakika tunahitaji sana adhabu ya viboko irudi kwenye jamii
Mjerumani aliwahi sana kuondoka
 
Cha kushangaza dereva amekuja na maiti hapa Sakina bar, amepaki gari, akawashusha ndugu wa marehemu kisha akaingia ndani kutizama EPL. Nimeumia sana kuona wamama wako nje wanalia

Weka na picha ya ndugu wa marehemu, hao wamama waliokuwa wakilia...
 
Ccm hoyee! Mpaka dereca wao wamejaa kiburi na dharau dhidi ya utu!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kuna raia zimepinda aisee dah!

Hii nguruwe ni ya kufukuza kazi straight away yaani na hakika tunahitaji sana adhabu ya viboko irudi kwenye jamii
Naunga mkono hoja hizi nidharau zilizokithiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…