Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja kujua nyinyi ni wakabila wakubwa sana kuliko makabila yoyote TZ ila mnajificha tu,hata viongozi wenu mnao waabudu na kuwasujudia pamoja na kuharbu chama kwa kuwaleta walokua mafisadi wa nchi hii bado mpo nao,Hii ni kawaida ya principal za ukabila kufumbia baadhi ya mambo maovu ila tu ni wakabila yeti,Hata JPM mnatukana watu na kuwaita majina ya ajabu kama SUKUMA GANG huku nyinyi na ndugu zenu hapo moshi(wapare) mkiongoza kupita watu majina ya kikabila.Mkuu ni vema ukajikita kwenye content ya kilichoandikwa badala ya ukabila
Mkuu mimi mtu wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , karibu tuvune mpungaNimekuja kujua nyinyi ni wakabila wakubwa sana kuliko makabila yoyote TZ ila mnajificha tu,hata viongozi wenu mnao waabudu na kuwasujudia pamoja na kuharbu chama kwa kuwaleta walokua mafisadi wa nchi hii bado mpo nao,Hii ni kawaida ya principal za ukabila kufumbia baadhi ya mambo maovu ila tu ni wakabila yeti,Hata JPM mnatukana watu na kuwaita majina ya ajabu kama SUKUMA GANG huku nyinyi na ndugu zenu hapo moshi(wapare) mkiongoza kupita watu majina ya kikabila.
Nenda kawaambie wenzenu waache ukabila na vikundi vyenu hvyo vya kiboroloni na chekereni moshi.
Damu ya ukabila haitowaacha salama na kikundi chenu cha kihuni kutoka moshi hapo
Kila mwaka anavishwa ni lini atabaki nalo, iwe zamu ya kulivua mbele za watu?Kama tulivyoahidi kuwa nanyi bega kwa bega katika kipindi hiki ambacho Chadema imekuja na mkakati mpya wa OPERESHENI HAKI , basi leo tena Tunaendelea kuwapa uhondo na taarifa mbali mbali za yanayoendelea huko Arusha kwenye vikao vinavyoendelea .
Mpaka hivi ninavyoandika hapa tayari Mwamba Mbowe kishakabidhiwa uongozi wa Wamasai baada ya kuvishwa vazi rasmi la kimila na Wazee wa Arusha , Hii ni heshima kubwa kwake na kwa chama chake na ni pigo kwa mamluki wote waliotumika kummaliza bila mafanikio .
View attachment 1798148
View attachment 1798184View attachment 1798183
Mungu ibariki Chadema .
mambo ya ajabu kweli. Sasa naamini Upinzani tanzania ni maigizo na historia tu imebakia. Bado hatujafaham ni nini hasa wanataka ku accomplish. Saa nyingine tutamlaumu sana mwendazake kwa kuwapiga stop ila huenda alikuwa sawa maana hawajitambui ni nini hasa wanafanyaHili vazi lowassa Alisha valishwa zaidi ya mara 1000
haya ni maajabu ya dunia yakitokea Tanzania yani mchaga akawe kiongozi wa kimila wamaasai hebu CHADEMA kuweni serious acheni hoja za kitoto hizi hazitawasaidia kwani wazee wa kimila wa wamasai hawapo?Kama tulivyoahidi kuwa nanyi bega kwa bega katika kipindi hiki ambacho Chadema imekuja na mkakati mpya wa OPERESHENI HAKI , basi leo tena Tunaendelea kuwapa uhondo na taarifa mbali mbali za yanayoendelea huko Arusha kwenye vikao vinavyoendelea .
Mpaka hivi ninavyoandika hapa tayari Mwamba Mbowe kishakabidhiwa uongozi wa Wamasai baada ya kuvishwa vazi rasmi la kimila na Wazee wa Arusha , Hii ni heshima kubwa kwake na kwa chama chake na ni pigo kwa mamluki wote waliotumika kummaliza bila mafanikio .
View attachment 1798148
View attachment 1798184View attachment 1798183
Mungu ibariki Chadema .
Kubalini tu mwendazake atorudi tenaNimekuja kujua nyinyi ni wakabila wakubwa sana kuliko makabila yoyote TZ ila mnajificha tu,hata viongozi wenu mnao waabudu na kuwasujudia pamoja na kuharbu chama kwa kuwaleta walokua mafisadi wa nchi hii bado mpo nao,Hii ni kawaida ya principal za ukabila kufumbia baadhi ya mambo maovu ila tu ni wakabila yeti,Hata JPM mnatukana watu na kuwaita majina ya ajabu kama SUKUMA GANG huku nyinyi na ndugu zenu hapo moshi(wapare) mkiongoza kupita watu majina ya kikabila.
Nenda kawaambie wenzenu waache ukabila na vikundi vyenu hvyo vya kiboroloni na chekereni moshi.
Damu ya ukabila haitowaacha salama na kikundi chenu cha kihuni kutoka moshi hapo
Na wewe umekeketwa?Waliomvisha wamechanjwa corona?
Upuuzi mtupu
Wewe mbona hujavaa pedi ?Je corona imeisha? Maana sioni barakoa
Anza kwa kuweka picha ya ofisi ya CCM(chama kikongwe) iliyojengwa kwa ruzuku.Jengeni ofisi bhana! Ona sasa munaanza kutafuna ruzuku za wabunge 19.
Barakoa wanevaa kwenye videvuu🤪🤪🤪🤪Waliomvisha wamechanjwa corona?
Upuuzi mtupu
Kwani wewe usipoelewa inabadilisha nini? Nenda kaendelee na maombolezo usije ukanyimwa nafasi ya kumfuata mapema bure.mambo ya ajabu kweli. Sasa naamini Upinzani tanzania ni maigizo na historia tu imebakia. Bado hatujafaham ni nini hasa wanataka ku accomplish. Saa nyingine tutamlaumu sana mwendazake kwa kuwapiga stop ila huenda alikuwa sawa maana hawajitambui ni nini hasa wanafanya
Sawa mzee kimaroKubalini tu mwendazake atorudi tena