fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
We ni CHAGA MAN wa long tu humuMkuu mimi mtu wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , karibu tuvune mpunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni CHAGA MAN wa long tu humuMkuu mimi mtu wa Kyela , kijiji cha Kajunjumele , karibu tuvune mpunga
Kwahiyo hapo hawajavaa barakoa sababu wamevaa pedi?Wewe mbona hujavaa pedi ?
akili yako wewe ni ndogo kama Yai la Mbuni hivyo huelewi kituKwani wewe usipoelewa inabadilisha nini? Nenda kaendelee na maombolezo usije ukanyimwa nafasi ya kumfuata mapema bure.
Kwahiyo umeshajidhihirisha kuwa sisi ni Wachaga?Damu ya ukabila haitowaacha salama na kikundi chenu cha kihuni kutoka moshi hapo
Aliyeshika microphone amevaa barakoa kubwaaVikao vya Chadema ni Full Sanitizer na Barakoa , picha inajieleza
Umepewa za usoo😂😂Kubalini tu mwendazake atorudi tena
Chawa mlitutesa sana.atake asitake ni lzm tumuongezee muda.Umepewa za usoo😂😂
Akili mgando. Nan kakwambia mm/sisi n masikin😂😂 pambana upate buku tano yako per day toka chagaz enterprise😂😂Matusi na uchawi ndio njia pekee ya masikini kupambana na tajiri
Hakutakuwa na mambo ya kupita bila kupingwaUchaguzi ujao kama utakuwa huru na haki CHADEMA itatisha.
Vp umeongeza BMW ngap tangu mwamba aondoke?😂😂 au ndo umefurah umepata mda mzr wa kutumia bando maana kuna uhuru kwa kutapika na kuharisha chochote mitandaoni kama unavyofanya saiz🤣🤪Chawa mlitutesa sana.atake asitake ni lzm tumuongezee muda.
Kidooogooo uchagani hukoUchaguzi ujao kama utakuwa huru na haki CHADEMA itatisha.
Nashuhudia ukuu wa Mungu hakika ajatuacha yatima. Huku akiendelea kuwaibisha wote wale waliovuruga uchaguzi mkuu bado ndugai na mahela. Bashite, bashiru, kange, sabaya chali tumpe nn tena Mungu ametenda lihimidiwe jina lakeVp umeongeza BMW ngap tangu mwamba aondoke?😂😂 au ndo umefurah umepata mda mzr wa kutumia bando maana kuna uhuru kwa kutapika na kuharisha chochote mitandaoni kama unavyofanya saiz🤣🤪
Hii operation ikiendelea kwa muda wa miezi mitatu bila kusambaratika, basi mi nitatembea uchi nchi nzima. Hapa kuna mkakati wa mwenyekiti kupiga pesa bila kuwagawia wenzake kitu ambacho kitafanya wajumbe wengine ambao ni genge la mbeleji waisusie operation yenyewe. Time will tell
Usimuamshe aliyelalaSema mnachoshindwa kuelewa ni kuona Mbowe ana njaa na vimilioni vya michango, mtu amewekeza mpaka nje huko aje apambane kula michango ya million mbili
Mke wangu wacha hizo unaleta noma saa hizi ili baadae unipige vipeps na baridi lote hili.Kwahiyo hapo hawajavaa barakoa sababu wamevaa pedi?
Basi sawa!
Hayo ndio majibu ya kwanini hawajavaa barakoa?Mke wangu wacha hizo unaleta noma saa hizi ili baadae unipige vipeps na baridi lote hili.
Asante mapambano yanaendelea hadi kieleweke.Kama tulivyoahidi kuwa nanyi bega kwa bega katika kipindi hiki ambacho Chadema imekuja na mkakati mpya wa OPERESHENI HAKI , basi leo tena Tunaendelea kuwapa uhondo na taarifa mbali mbali za yanayoendelea huko Arusha kwenye vikao vinavyoendelea.
Mpaka hivi ninavyoandika hapa tayari Mwamba Mbowe kishakabidhiwa uongozi wa Wamasai baada ya kuvishwa vazi rasmi la kimila na Wazee wa Arusha , Hii ni heshima kubwa kwake na kwa chama chake na ni pigo kwa mamluki wote waliotumika kummaliza bila mafanikio.
View attachment 1798148
View attachment 1798184View attachment 1798183
Mungu ibariki Chadema .