Arusha: Freeman Mbowe avishwa vazi rasmi la kimila la Wamasai na kusimikwa kuwa kiongozi wao

Arusha: Freeman Mbowe avishwa vazi rasmi la kimila la Wamasai na kusimikwa kuwa kiongozi wao

Chawa mlitutesa sana.atake asitake ni lzm tumuongezee muda.
Vp umeongeza BMW ngap tangu mwamba aondoke?😂😂 au ndo umefurah umepata mda mzr wa kutumia bando maana kuna uhuru kwa kutapika na kuharisha chochote mitandaoni kama unavyofanya saiz🤣🤪
 
Vp umeongeza BMW ngap tangu mwamba aondoke?😂😂 au ndo umefurah umepata mda mzr wa kutumia bando maana kuna uhuru kwa kutapika na kuharisha chochote mitandaoni kama unavyofanya saiz🤣🤪
Nashuhudia ukuu wa Mungu hakika ajatuacha yatima. Huku akiendelea kuwaibisha wote wale waliovuruga uchaguzi mkuu bado ndugai na mahela. Bashite, bashiru, kange, sabaya chali tumpe nn tena Mungu ametenda lihimidiwe jina lake
 
Sijawahi kuelewa faida ya hizi siasa za kuvikwa migolole na kutambikiwa.
 
Sema mnachoshindwa kuelewa ni kuona Mbowe ana njaa na vimilioni vya michango, mtu amewekeza mpaka nje huko aje apambane kula michango ya million mbili
Hii operation ikiendelea kwa muda wa miezi mitatu bila kusambaratika, basi mi nitatembea uchi nchi nzima. Hapa kuna mkakati wa mwenyekiti kupiga pesa bila kuwagawia wenzake kitu ambacho kitafanya wajumbe wengine ambao ni genge la mbeleji waisusie operation yenyewe. Time will tell
 
Kama tulivyoahidi kuwa nanyi bega kwa bega katika kipindi hiki ambacho Chadema imekuja na mkakati mpya wa OPERESHENI HAKI , basi leo tena Tunaendelea kuwapa uhondo na taarifa mbali mbali za yanayoendelea huko Arusha kwenye vikao vinavyoendelea.

Mpaka hivi ninavyoandika hapa tayari Mwamba Mbowe kishakabidhiwa uongozi wa Wamasai baada ya kuvishwa vazi rasmi la kimila na Wazee wa Arusha , Hii ni heshima kubwa kwake na kwa chama chake na ni pigo kwa mamluki wote waliotumika kummaliza bila mafanikio.

View attachment 1798148

View attachment 1798184View attachment 1798183

Mungu ibariki Chadema .
Asante mapambano yanaendelea hadi kieleweke.
 
Back
Top Bottom