Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwakweli inashangazaMkuu Tayana,
Ulishawahi kufanya kitu halafu baada ya kukifanya unashangaa nimefanyeje hichi kitu mimi?!!
Hufikirii labda kulikuwa na dawa zingine walizotumia ambazo huenda akili isiwe sawa?
Hata mimi nashangaa kwanini alifungua mlango.
Ila kuna situation unaweza kufanya vtu halafu bado unabaki kama umepigwa butwaa imekuwaje
Bado nawaza 🤔