Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

Mkuu Tayana,

Ulishawahi kufanya kitu halafu baada ya kukifanya unashangaa nimefanyeje hichi kitu mimi?!!

Hufikirii labda kulikuwa na dawa zingine walizotumia ambazo huenda akili isiwe sawa?

Hata mimi nashangaa kwanini alifungua mlango.

Ila kuna situation unaweza kufanya vtu halafu bado unabaki kama umepigwa butwaa imekuwaje
Kwakweli inashangaza
Bado nawaza 🤔
 
ninachokiona hapa ni,kaka wa anayeitwa mhanga kutofurshishwa na hali aliyoikuta nyumbani kwa mdogo wake.hao ni wapenzi sema bro kajua jana kwa kuwafuma🙈🙈🙈
Mkuu mkorinto,

Kwa kusema ni wapenzi naweza kukataa, si jambo rahisi kumtuma mtu chakula sehemu ya karibu halafu uende muende kufanya uchafu mkitegemea kwamba mtamuwahi mtu huyo asiwakute au?
Lakini pia stori inakosa mtiririko mzuri.

Lakini pia kwanini kijana akutwe ajielewi? Yaani mtuhumiwa aweke madawa kijana asijielewe akitegemea kwamba muda aliyomtuma kama mtu atakuwa kijana huyo kashaamka?
 
Mkuu mkorinto,

Kwa kusema ni wapenzi naweza kukataa, si jambo rahisi kumtuma mtu chakula sehemu ya karibu halafu uende muende kufanya uchafu mkitegemea kwamba mtamuwahi mtu huyo asiwakute au?
Lakini pia stori inakosa mtiririko mzuri.

Lakini pia kwanini kijana akutwe ajielewi? Yaani mtuhumiwa aweke madawa kijana asijielewe akitegemea kwamba muda aliyomtuma kama mtu atakuwa kijana huyo kashaamka?
kumbuka yote haya ni makisio tu.
huyu hakimu awe kiazi kiasi gani kutopiga hesabu za vita atakayokumbana nayo baada ya tukio,yaani mtu anarudiwa na fahamu anagundua hana linda😱😱,anakuua.

kuhusu majadirio ya muda inawezekana chini ya kilevi walishindwa kukadiria wakati sahihi.

nampa pole sana huyu kijana boda boda kama sio mdau wa hayo mambo.
 
Back
Top Bottom